Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanesco Sacos yafanya mkutano wa mwaka na kuchagua viongozi

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Felchesmi Mramba akipitia hutuba kabla ya kufungua mkutano akiwa mgeni rasmi.  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAWASILI DAR BAADA YA KUTOLEWA KOMBE LA MAPINDUZI

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akiwa na Danny Mrwanda wakiwasili kutoka Zanzibara kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo timu ya Yanga ilitolewa katika hatua a robo fainali kwa kuchapwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAANDALIA MABALOZI SHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA 2015 IKULU...

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akibadilishana mawazo na Balozi wa Vatican, Francisco Montecillo Padilla wakati wa sherehe za kuukaribisha mwaka mpya aliyowaandaliwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa...

View Article

Mwanza walitaka Tamasha la Pasaka

Na  Mwandishi Wetu WAKAZI wa jiji la Mwanza na Kanda ya Ziwa  wameiomba Kampuni ya Msama Promotions inayoandaa Tamasha la Pasaka na Krismasi  kuwapa  nafasi  ya upendeleo  kwa  kuwapelekea tamasha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM KIMEKUTANA LEO MJINI ZANZIBAR

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein wa pili kulia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohammed Gharib Bilal...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa kwa ajili ya Kituo cha Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZuRii House Of Beauty Kufunguliwa Rasmi 12 Januari 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA WAZIRI MKUU YATEMBELEA MIRADI YA CDA

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi.  Regina Kikuli (mwenye gauni la kitenge) akisiliza maelezo ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi  inayotekelezwa na  Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YAKABIDHI FULANA KWA AJILI YA SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANZIBAR

Meneja wa NMB tawi la Darajani Zanzibar, Abdalla Duchi (kushoto) akikabidhi jezi za mpira wa miguu kwa ajili ya timu ya wawakilishi kwa Mwakilishi wa Rahaleo, Nassor Salumu 'Jazira' (wa pili kulia) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COASTAL YAANZA KUANDAA SILAHA ZA KUIANGAMIZA POLISI MORO

Wachezaji wa Coastal Union wakisalimiana na wachezaji wa Mombasa Kombaini kabla ya mchezo.Na Mwandishi wetuTIMU ya Coastal Union imesema kuwa umuhimu wa timu hiyo kufanya vizuri kwenye mechi yao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB Lumumba yaanza mwaka kwa kuwakumbuka wahitaji

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB, Tawi la Lumumba, katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu, wanaolelewa katika kituo cha Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam. Wafanyakazi wa Benki ya CRDB...

View Article

TANESCO YAWAFARIJI YATIMA WA KITUO CHA CHAKUWAMA

Na Mwandishi WetuMKUGENZI wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima na Wasiona (Chakuwama), Hassan Hamis, ameishauri jamii kujikita zaidi katika kuwasidia watoto yatima ili kuwaepusha na ukosefu wa maadili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM LINDI YAKUTANA KUWEKA MIKAKATI MIZURI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akitoa salaam za pongezi kwa wananchi wa kijiji cha Kilangala B kata ya Kilangala  kwa kuipa ushindi CCM kwenye uchaguzi serikaliza mitaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI AANZA KUTIMIZA AHADI, AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA CHALINZE

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

 Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia Mkono wananchi wakati alipowasili katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja katika kilele cha Sherehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WAANZA VIZURI MASHINDANO YA TENIS KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Emmanuel Mallya wa Tanzania akirudisha mpira kwa mpinzani wake wakati wa mashindano ya Kimataifa ya Afrika Mashariki ya mchezo wa tenis katika viwanja vya Gymkana jijini Dar es Salaam. Emanuel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI WATEMBELEA MASHAMBA YA WAKULIMA WA ZABIBU DODOMA AMBAO WATOTO WAO...

 Mratibu wa Mpango wa Kampuni ya Konyagi wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao la zabibu kwa masomo ya Sekondari Saimon Chibehe (katikati), akitembelea hivi karibuni shamba la zabibu la Festo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN CASMIR MINJA AMPANDISHA CHEO MWANARIADHA,...

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja, akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumpandisha cheo koplo, Catherina Lange kuwa Sanjenti wa Jeshi la Magereza.Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU YA CCM ILIPOKUTANA ZANZIBAR

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete  akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai leo alipofika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>