Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

OFISI YA WAZIRI MKUU YATEMBELEA MIRADI YA CDA

$
0
0
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi.  Regina Kikuli (mwenye gauni la kitenge) akisiliza maelezo ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi  inayotekelezwa na  Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA), kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Bw. Paskasi Muragili (wa pili kulia ) wakati alipoowaogoza wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu kutembelelea miradi ya mamlaka hiyo leo , mjini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya  wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri  Mkuu wakimsikiliza  Kaimu Mkurugenzi  wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) Bw. Paskasi Muragili (hayupo pichani) wakati walipotembelea miradi ya ujenzi  inayotekelezwa na Mamlaka hiyo, leo mjini Dodoma. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>