Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMEKUCHA UZINDUZI WA ALBAM YA "SHIKILIA PINDO LA YESU" YA ROSE MUHANDO

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizoko Moroco jijini Dar es salaam wakati akielezea kuhusu kukamilika kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZESCO KUTUMIA TEKNOLOJIA MPYA YA KUFANYA UKARABATI WA NJIA ZA UMEME BILA KUZIMA

Mkurugenzi wa Mc Donald Liveline Technology, Donald Mwakamele akishangilia ushindi baada ya kampuni yake kuibuka na ushindi katika Maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Zambia kwa teknolojia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWALA YA EID EL FITR KITAIFA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal  akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam  Mh. Said Meck sadiki   kwenye Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE ASEMA DINI NDIKO KWENYE CHIMBUKO LA AMANI NA UTULIVU, ACHANGIA KITABU...

 HABARI KATIKA PICHA KUHUSU BARAZA HILO LA EID  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Kamilius Membe, akizungumza jambo na Waziri Mkuu Mstaafu, Dk. Salim Ahmed Salim, huku waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDA yatoa msaada wa shilingi milioni 15 kwa kanisa la Mt. Rita

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akikabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 15 kwa Paroko Msaidizi wa Kigango cha kanisa la Mavurunza, Padri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wapya CHADEMA

UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilaya ya kichama Ubungo unatarajiwa kujulikana Agosti 3 mwaka huu baada ya uchaguzi wa ngazi za chini katika wilaya hiyo kukamilika. Mbali na viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DULLY SYKES: MIAKA MIWILI SIJAITWA NA PROMOTA

NA ELIZABETH JOHNMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ amesema  imepita miaka miwili hajawahi kupigiwa simu na promota yeyote nchini kwaajili ya kufanya shoo.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

P FUNK MAJANI ASAKA NYOTA WAPYA

NA ELIZABETH JOHNSTUDIO ya Bongo Rekord iliyo chini ya mtayarishaji mkongwe nchini, P Funk Majani natafuta wasanii wapya wenye vipaji ikiwa ni pamoja na wale wanaojijua kama wanabahati.Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEGE: NITAENDELEA KUFANYA VIDEO BONGO MPAKA KIELEWEKE

Na Elizabeth JohnMSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Said Juma ‘Chege Chigunda’ amesema ataendelea kufanya video za kazi zake hapa nchini mpaka mashabiki waelewe anachokifanya katika tasnia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAMLAKI DIAMOND PLATINUMZ DAR

NA ELIZABETH JOHNMSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amewataka Watanzania kuendelea kumpa sapoti katika kazi zake kwa lengo la kuendelea kuiwakilisha vema tasnia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA MECHI YA MARUDIO NA MSUMBIJI STARS YAJIFUA VIKALI MJINI TUKUYU

Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars,wakiongozwa na kocha Mart Nooij wakifanya dua kabla ya kuanza  mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya Msumbiji, wa kufuzu fainali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUDU BAYA AWASHAURI ALIKIBA, DIAMOND PLATINUMZ

 NA ELIZABETH JOHNMKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Dudu Baya amewataka wasanii wa muziki huo, Alikiba na Diamond Platinum kutumia vipaji vyao kutengeneza hela na sio kugombana.Kauli hiyo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA

ZITO KABWETarehe 29 Julai, 2014 nimefanya mahojiano katika kipindi cha Power BreakFast kinachorushwa na Clouds FM. Baadhi ya vyombo vya habari vimeandika mahojiano yale. Napenda nitoe ufafanuzi kidogo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mayanga avipa somo vilabu vya ligi kuu

Na Kenneth Ngelesi, MBEYA  KOCHA msadizi wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Salum Mayanga (pichani), amezitaka timu zinazoshiriki Ligi Kuu  Tanzania Bara kutumia mji wa Tukuyu kama sehemu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 17 WAFA KATIKA AJALI YA BASI DODOMA

 Basi la Moro Best linavyoonekana baada ya kupata ajali.Wakati sherehe za sikukuu ya Idd -El Firt zinaelekea ukingoni Taifa limepatwa na msiba mkubwa baada ya watu 17 waliokuwa wakisafiri na basi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YAFUNIKA MBAYA EID MOSI NDANI YA ESCAPE ONE

Sam Mapenzi (katikati) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya fukwe za Escape One katika show maalum kwa ajili ya kusheherekea sikukuu ya Eid-El Fitr huku akipewa back Vocal na Sony...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS YAWASILI AFRIKA KUSINI

Kikosi cha StarsKikosi cha Taifa Stars kimewasili Johannesburg kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya kwenda Maputo, Msumbiji kwa ajili ya mechi dhidi ya Mambas itakayochezwa Jumapili. Stars...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES...

Marais wastaafu Thabo Mbeki wa Afrika Kusini na Festus Mogae wa Botswana wakiigia kwenye chumba cha Mkutano katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo wakati wa mkutano wa mwaka wa Africa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COASTAL UNION U -20 YAIVIMBIA AFRICAN SPORTS, ZATOKA SULUHU PACHA

Wachezaji wa Coastal Union U-20 wakiwa uwanjani wakati wa mchezo wao na Afrcan SportsMakamu Mwenyekiti wa Coastal Union, Steven Mguto (kushoto), akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Chama cha Soka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PHD AWATAYARISHA MASHABIKI

Na Elizabeth JohnSTAA wa filamu na muziki wa kizazi kipya nchini, Hemed Suleiman ‘PHD’ amesema kabla ya mwaka haujaisha atakuwa amesambaza video kali sita za nyimbo zake mpya.PHD ni kati ya mastaa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>