Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA WA MLIPUKO WA ARUSHA WATINGA MAHAKAMANI

Watuhumiwa wa mlipuko katika mgahawa wa kihindi wa Verma Traditional Indian Cuisene jijini Arusha wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha. (Picha na Mahmoud Ahmad) Na  Mahmoud Ahmad,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA MAENDELEO YAZINDUA MAENDELEO BANK INSURANCE AGENCY

Mkurugenzi mtendaji wa Maendeleo Benki,Ibrahim Mwangalaba (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa UAP,Nick Itunga kwa pamoja wakifunua pazia kuashiria uzinduzi wa huduma hiyo. Wakurugenzi wakifuatilia jambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU...

 Mhandisi Donart Makingi (Kushoto) kwa niaba ya Meneja wa Usalama kazini akitoa maelekezo kwa wahandisi namna ya kuzingatia usalama katika eneo la kazi ikiwa ni pamoja na kuto kupanda kwenye nguzo, ama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA UJENZIWAKALA WA UFUNDI NA UMEME (TEMESA)Telegrams TEMESA DSM                                                                      S.L.P  70704Simu:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAANDALIA FUTARI WANANCHI WA PEMBA

Baadhi ya waumini wa Nini ya Kiislamu pamoja na wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba wakifutari pamoja hapo Ikulu ya Wete futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Mauungano wa Tanzania Dk. Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAVICHA NA UCHAGUZI WA VIONGOZI

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), John Heche akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kuanza kwa uchaguzi wa nafasi za uongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABEHEWA 25 YA KUIMARISHA RELI YA KATI YAWASILI KUTOKA INDIA

Moja ya mabehewa ya kubebea kokoto zitakazotumika kwa ajili ya kuimarisha reli ya Kati ikishushwa kutoka katika meli ilipowasili katika Bandari ya Dar es Salaam kutoka India. Jumla ya mabehewa 25...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WATAKIWA KUWAEPUKA MATAPELI WA MITANDAO

Mkurugenzi Idara ya Habari Assah Mwambene wa kwanza kulia, akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari (pichani hawapo), aliwataka wananchi wote kuwaepuka Matapeli wote wanaotumia mitandao ya kijamii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA PUGU KINYAMWEZI WATINGA TANESCO WILAYANI KISALAWE

Wakazi wa Pugu Kinyamwezi Mkoa wa Pwani, wakisikiliza ushauri kutoka kwa Katibu waliomtehua wa kufatilia huduma ya Umeme,  Lucas Maira wa kwanza (kushoto), Wakazi hao wamekosa huduma hiyo toka mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA THE GUARDIAN/MHARIRI WA NIPASHE, WAITWA POLISI

Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, (ZCO), Jafar Ibrahim, (Kulia), akizungumza na Mwanasheria wa kampuni ya The Guardian, Gladis Frimbari (Wapili kulia), Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIATANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITYRE-ADVERTISEMENTTCRA ICT SCHOLARSHIP 2014-2015The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is currently inviting...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY2014-15 TCRA ICT SCHOLARSHIP APPLICATION FORMDeadline: 20th August 2014Note:  Scholarship applications will be judged on their own merit based on their...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GSK YATANGAZA KUWASILISHA KWA CHANJO YA MALARIA

GSK imetangaza  kuwasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya  Ulaya ya Madawa Agency (EMA).Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuuya Tanzania Mhe. Shaban Ally Lila leo jijini Dar es Salaam. akitia saini hati ya Kiapo mbeleya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO KATI YA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM NA WANAMTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA...

 Usu Millya Mwanamtandao wa Ulingo wa Katiba na wanawake ambaye alikuwa ndiye mwezeshaji wa mkutano huo ambao  ulikuwa ni wa siku mbili akiendelea kutoa mwongozo wa mkutano huo. Doreen E. Maro kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Twanga kuwatambulisha waliotoka Extra Bongo na Malaika Band Idd Mosi ndani ya...

BENDI ya African Stars’ Wana Twanga Pepeta, itawatambulisha rasmi wanenguaji wake wanne waliotoka bendi ya Extra Bongo na bendi ya Malaika siku ya Idd Mosi kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dk.Shein Afurtarisha Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi  katika futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi  Unguja jana katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. EDWARD LOWASSA AWAANDALIA FUTARI WAUMINI WA MONDULI

Mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowassa akizungunza na waumi wa dini ya kiislam (hawapo pichani), katika hafla aliyofuturisha katika Msikiti Mkuu wa Monduli mjini. Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANISPAA YA KINONDONI YAWAFUKUZA WATUMISHI TISA, WAWILI WAPEWA KARIPIO KALI

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAFUTURISHA WASTAAFU WAKE MKOA WA TANGA

Principle Operation Officer wa NSSF, Joyce Mruma akigawa zawadi kwa wastaafu wa NSSF wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na shirika hilo. Ofisa Mwandamizi wa Operesheni wa NSSF, Lydia Ignace...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>