Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE MGENI RASMI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandali ya Tamasha la kuombea Amani na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Alex Msama akifafanua jambo Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki, wakati akimtangaza Rais Jakaya Kikwete kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA KAMPENI WA KAMPENI JIMBO LA HAI

 Baadhi ya wafuasi wa Ukawa wakiwa katika mkutano wa kampeni  kwenye Uwanja wa Half London eneo la Bomang’ombe Wilaya ya Hai Moshi Mgombea urais wa Edward Lowassa, akimnadi Mgombea ubunge wa Jimbo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZOKUFUATIA KIFO CHA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal,  akisaini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUPATA BILIONI 992 KUBORESHA UMEME

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone:255-22-2114512, 2116898E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPENDO NKONE AZINDUA ALBAMU YA TANO

Mwimbaji wanyimbo za injili, Upendo Nkone akiimba kwa hisia wakati wa uzinduzi wa albamu yake ya tano iitwayo ‘Omba Yesu Anasikia’ uliokwenda sambamba na kutimiza miaka 10 tangu aanze huduma ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LHRC YAADHIMISHA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA KWAKE

 Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Septemba 26,1995, Jaji Mstaafu Osebia Munuo (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM MKOKOTONI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA LEO

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na WanaCCM na Wananchi na Wapenda amani katika Wilaya ya Kaskazini A Jimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NDANI YA CHIMALA,MBARALI,MAKAMBAKO NA...

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Ubunge wa jimbo la Makambako Ndugu Deo Sanga wakiwaiambisha wananchi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO

Eng.Philbert Rweyemamu akifafanua jambo katika moja ya mabanda ya maonyesho kwa baadhi ya maafisa wa uhamiaji walipokuwa wakitembelea mabanda ya maonyesho.Eng.Philbert Rweyemamu akifafanua jambo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA

Eng.Philbert Rweyemamu akifafanua jambo katika moja ya mabanda ya maonyesho kwa baadhi ya maafisa wa uhamiaji walipokuwa wakitembelea mabanda ya maonyesho.Michel Ash-Afisa Mkuu wa Masuala ya uendeshaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA WAZIRI CELINA KOMBANI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasilisha salamu za Pole za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakati wa kuuaga Mwili wa Marehemu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI CLUB YAZINDULIWA

 Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA

Mwenyekiti  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa chapicho la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA...

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA ESTER DIANA NANA, ALIVYOMEREMETA

 Bi Harusi mtarajiwa Ester Diana Nana (kushoto) akigonisha glasi na msimamizi wake, Hellen, wakati wa sherehe ya kuagwa (Send off) iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, mwishoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA UBUNGE TEMEKE (CCM) MTEMVU AHAIDI NEEMA AKICHAGULIWA TENA

 Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abbas Mtemvu akizungumza na wananchama na wafuasi wa Chama hicho  Dar es Salaam jana wakati wa mkutano wa Uzinduzi wa kampeni ya uchaguzi Kata 14...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAMLAKI EDWARD LOWASSA BUMBULI-TANGA

Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakimlaki kwa shangwe Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati akiwasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA BONGO MOVIE WAIBUKIA MJINI IRINGA,WATANGAZA KUTEMBEA NCHI NZIMA...

Baadhi ya Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiongozwa na Jacob Steven a.k.a JB wakiwa wamenyanyua juu mikono yao kwa pamoja ni Ushindi sambamba na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAFUNGA BARABARA - LOWASSA KAMPENI

 Mgombea Urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Muheza Mkoani Tanga, waliofunga barabara ili azungumze nao leo Septemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA NA KUTOA VIFAA TIBA KWA...

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja uliofanyika jijini Dar es Salaam na kukabidhi vifaa tiba kwa ajili ya kuhudumia...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>