Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

MISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA

$
0
0
Mwenyekiti  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa chapicho la ripoti ya matumizi bora ya utoaji wa habari katika sekta za umma hapa nchini akisaidiwa na Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama (kushoto) pamoja na Mwenyekiti msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew Marawiti (kulia) 
Waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa(hawapo pichani) wakioneshwa kitabu cha ripoti ya haki ya kupata taarifa halali katika sekta za umma kwa mwaka 2015 kilichozinduliwa leo siku ya kupata habari iliyofanyika kwenye ofisi za MISA Tanzania.
 Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akionesha tuzo ya cheti cha kufuri la Dhahabu kwa kubana sana taarifa kwa mwaka 2015 kwa umma iliyokwenda kwenye Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege(kulia) akimkabidhi Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Anthony Ishengoma tuzo ya cheti cha kufuri la Dhahabu kwa wizara hiyo kwa kubana sana taarifa kwa umma mwaka 2015.
   Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege(kulia) akimkabidhi tuzo ya cheti cha funguo la Dhahabu walioibuka washindi wa mwaka 2015 Kaimu Mkuu wa Mawasiliano wa Huduma kwa Jamii wa NHC Bw. Muungano Saguya kwa kutoa taarifa kwa uwazi kwa umma.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles