Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE,KESHO KUUNGURUMA LIVE UWANJA WA JAMHURI...

 Pichani kati ni Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akiwa sambamba na Mgombea Ubunge wa jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde kwa pamoja wakiwapungia wananchi wa jimbo la Mtera (hawapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Udongo kwenye kaburi la Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma marehemu Celina Kombani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EMIRATES YAPATA MENEJA MPYA-TANZANIA

Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam jana. (Picha zote na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA KUPITIA CHADEMA AFANYA MIKUTANO KILWA KUSINI

 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji akiwapungia mikono wananchi wakati akielekea jukwaani kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa Kusini mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA KATUNI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASOI YAZINDUA KAMPENI YA SARATANI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO BILA...

Katibu Mkuu wa TASOI, Belinda Mlingo akizungumza na waandhishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mpango mkakati endelevu wa kuendesha kampeni ya Mshikamano dhidi ya Saratani kwa kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMELOK SOKOINE AZINDUA KAMPENI ZAKE JIMBO LA MONDULI

MGOMBEA jimbo la Monduli kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Namelok Sokoine, akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa uzinduzi wa kampeni zake zilizofanyika katika viwanja vya Nanja Mnadani Monduli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIMBO LA BUMBULI, MKOANI TANGA

Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakimlaki kwa shangwe Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati akiwasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEA YAIPA TET MKOPO WA SHILINGI BILIONI TATU KUANDAA MITAALA NA KUCHAPISHA...

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Sifuni Mchome (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Mamlaka ya Elimu (TEA) zilipotialiana saini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAIFUNGA STAND UNITED 1-0, YANGA YAIPIGA MTIMBWA SUGAR 2-0

Beki wa Simba, Murshid Juuko akiwatoka wachezaji wa Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa leo. Simba imeshinda 1-0. (Picha na Francis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

2nd PAN-AFRICAN MOSQUITO CONTROL ASSOCIATION (PAMCA) ANNUAL SCIENTIFIC...

View Article

GLOBAL TV ONLINE:MPOTO AFUNUKA KUHUSU SABABU YA YEYE KUTEMBEA PEKU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI USO KWA USO NA WAPIGA KURA WAO MUFINDI , WAULIZWA...

       Ndg Patrick Lalika, akiuliza Swali kuhusu Mazingira hatarishi kwa Watoto katika mdahalo uliofanyika katika Shule ya Msingi Igowole wilayani Mufindi, ambao ulishirikisha wanafunzi kutoka Shule za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAIMBAJI TAMASHA LA AMANI KUANZA KUWASILI IJUMAA

Mwenyekiti wa Tamasha la Kuombea Amani, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya tamasha hilo litakalofanyika Oktoba 4 kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ATIKISA DAR

Waangalizi kutoka Jumuiya ya Ulaya (EU), wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chadema uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Yanga leo majira ya saa tano asubuhi, mgombea huyo anaungwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA MSIKITI KIMBANGULILE , MKURANGA PWANI

 Msikiti mpya wa Kitongoji cha Kimbangulile, Mkuranga Pwani Msikiti wa zamani wa Kitongoji cha Kimbangulile Wilaya ya Mkuranga mkoni Pwani.Tunamshukuru Mungu kwa wale wote walio tuunga mkono katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SSRA yatoa elimu kwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi (TUCTA) mkoani Dodoma

*Wafanyakazi watakiwa kufuatilia makato yaoMkurugenzi wa Utafiti, Tathmini na Sera wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Ansgar Mushi.Na Mwandishi Wetu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msama Promotions yamshukuru Rais JK

NA FRANCIS DANDE MWENYEKITI wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la kuombea amani Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Alex Msama  (pichani) amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kukubali kuwa mgeni rasmi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA JUMA DUNI HAJI AFANYA MKUTANO RUFIJI

 Mgombea mwenza wa urais Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Juma Duni Haji akikaribishwa na mkazi wa Chumba, Futa Bakari wakati wa mkutano wa kampeni katika Viwanja vya Muhoro, Rufiji mkoani...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>