Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

UZINDUZI WA KAMPENI WA KAMPENI JIMBO LA HAI

$
0
0
 Baadhi ya wafuasi wa Ukawa wakiwa katika mkutano wa kampeni  kwenye Uwanja wa Half London eneo la Bomang’ombe Wilaya ya Hai Moshi
 Mgombea urais wa Edward Lowassa, akimnadi Mgombea ubunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe katika  mkutano wa kampeni  kwenye Uwanja wa Half London eneo la Bomang’ombe Wilaya ya Hai Moshi
 Mfuasi wa Chadema akitoka kwenye jeneza lilioandikwa mwisho wa CCM kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa chama hicho , Edward Lowassa, katika Uwanja wa Half London eneo la Bomang’ombe Wilayaa ya Hai Moshi.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Bomang'ombe, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Half London, Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro.
 Mgombea urais wa Edward Lowassa, akihutubia mkutano wa kampeni  kwenye Uwanja wa Half London eneo la Bomang’ombe Wilaya ya Hai Moshi.
Mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa, akiwa amembeba mtoto Sayuni Nassari wa Mgombea ubunge Arumeru Mashariki Joshuaa Nassari wakata wa  mkutano wa kampeni  kwenye Uwanja wa Half London eneo la Bomang’ombe Wilaya ya Hai Moshi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, wakiwapungia wananchi wa mji wa Bomang'ombe, Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro. (Picha na Othman Michuzi)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>