Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na WanaCCM na Wananchi na Wapenda amani katika Wilaya ya Kaskazini A Jimbo la Tumbatu katika Uwanja wa Sunrize Mkokotoni Mkoa wa kaskazini Unguja leo jioni. (Picha na Ikulu)