Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

MICHUANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KUANZA DESEMBA 28

Michuano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake ya Proin Women Taifa Cup inaanza rasmi Desemba 28 mwaka huu kwa mechi ya ufunguzi kati ya timu za mikoa ya Mara na Mwanza itakayochezwa Uwanja wa CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA TBL WALIOPIMWA VIRUSI VYA UKIMWI WAZAWADIWA

Mgeni rasmi Ofisa Uendeshaji, Rasirimali watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Collins Constantine, akishishirikiana na wafanyakazi wenzake wa TBL kuwasha mishumaa kuwakumbuka wenzao waliopoteza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu

  Mwenyekiti wa Muda wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya wamiliki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA UCHUKUZI DK .HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA JENGO LA MAMLAKA YA USAFIRI...

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (wa tatu kutoka kulia) Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya kudumu ya Miundombinu, Peter Serukamba, Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu Serikali ya Mapunduzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Selcom Wireless yadhamini tuzo za Taswa

Meneja  Biashara, ukuzaji na Masoko wa kampuni ya Selcom Wireless, Juma Mgori (Katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na udhamini wa Tuzo za wanamichezo bora za Chama cha waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIZIMA EXPRESS YA UGANDA KWA BAO 1-0

 Mrisho Ngassa (kulia) na Andrey Countinho waniwania mpira.Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo. Hekaheka. Salvatory Edward.Kocha Msaidizi wa Yanga, Shadrack Nsajigwa.Nizar Khalfan akipiga shuti....

View Article

Kibaden: Sijafa jamani, .awapa pole waliomzushia kifo

Na Mwandishi WetuKOCHA maarufu nchini na nyota wa zamani wa Klabu ya Simba, Majimaaji na  timu ya soka ya  Tanzania, Taifa Stars, Abdallah ‘King Mputa’ Kibaden, ameibuka na kusema hajafa na kwamba yu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE azindua mfuko wa elimu UB

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB) akipokelewa na Naibu Makamu Mkuu wa chuo hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona

 1.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya Mashekhe na wageni waliohudhuria hafla ya kisomo maalum cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kufanyiwa upasuaji na kurejea nyumbani salama...

View Article


ANGLICANA TANGA WAANZISHA MFUKO WA MAFUO YA UZEENI KWA WATUMISHI WAKE

KANISA la Anglicana Dayosisi ya Tanga limeanzisha mfuko wa kulipa malipo ya uzeeni (Pensheni), watumishi wake kama mafao yatakayowasidia baada ya kustaafu utumishi katika kanisa hilo.Hayo yalisemwa na...

View Article

CHADEMA KWENDA MAHAKAMANI KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TEMEKE

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo kinatarajia kwenda Mahakamani kusimamisha uchaguzi wa Serikali za mitaa wilayani Temeke kutokana na kuenguliwa mgombea wake wa nafasi ya uenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA YAPATA TUZO YA KUWEKA KUMBUKUMBU YA MAHESABU VIZURI

Kamishna Mkuu wa TRA Rished Bade akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupokea tuzo za kuweka mahesabu vizuri kwa taasisi bora za serikali mwaka 2013-2014 iliyotolewa  NBAA. (Na Mpiga Picha...

View Article

RAIS KIKWETE ATEUA MKUU MPYA MMOJA WA MKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014.Taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANSAF YAKUTANA NA WADAU WA KILIMO

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na masuala ya kilimo (Ansaf), Audax Rukonge akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano uliowakutanisha wajasilimali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akimkabidhi zawadi kwa timu kapteni wa timu ya Operations...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC)...

 Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yazindua HOME Wi-Fi, huduma ya Internet kuunganisha familia nzima kwa...

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi  huduma mpya ya HOME WI-FI itakayowawezesha wateja wake watumiaji...

View Article


CCM WAMSHAMBULIA MDHAMINI CHADEMA

ABDALLAH NA SHEHE SEMTAWAMJUMBE wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Muslim Hassanali, amedai kushambuliwa na katibu kata wa kata ya Kisutu kupitia Chama cha Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAIBUKA KIDEDEA KATIKA TUZO ZA NBAA UPANDE WA MABENKI

 Naibu waziri wa fedha Adam Malima akimkabidhi meneja wa fedha wa benki ya CRDB Sosteness Biseko  tuzo  ya NBAA ya ushindi  katika  uandaaji wa taarifa bora za fedha mwaka 2013-2014,jumla ya benki tisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAIPIGA 'JEKI' CHUO KIKUU CHA ST JOHN'S DODOMA

Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred akihutubia wakati wa Mahafali ya 5 ya Chuo Kikuu cha St. John's  Mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. (Na Mpiga Picha Wetu)Askofu wa Kanisa la...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>