Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

WAFANYAKAZI WA TBL WALIOPIMWA VIRUSI VYA UKIMWI WAZAWADIWA

$
0
0
Mgeni rasmi Ofisa Uendeshaji, Rasirimali watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Collins Constantine, akishishirikiana na wafanyakazi wenzake wa TBL kuwasha mishumaa kuwakumbuka wenzao waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ukimwi.
  Mgeni Ofisa Uendeshaji, Rasirimali watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Collins Constantine akikabidhi zawadi ya jiko la gesi kwa Christopher Mchome, baada ya kushinda bahati nasibu ya wafanyakazi waliopima afya zao, wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi, Dar es Salaam juzi.
 Mchome akisaidiwa na wenzake kubeba jiko baada ya kushinda bahati nasibu ya wafanyakazi wa TBL.
 Wasanii wakitoa burudani ya michezo mbalimbali wakati wa maadhimisho hayo kwa wafanyakazi wa TBL.
 Wafanyakazi wa TBL wakisubiri kwa shauku kubwa zawadi zilizotolewa na kampuni hiyo ili zichezeshwe bahati nasibu kwa wafanyakazi waliopima afya zao kwa hiari.
 Wakiwa na shauku ya kupata zawadi, wafanyakazi wa TBL wakipata kinywaji huku wakisubiri bahati nasibu iliyoandaliwa na kampuni hiyo, wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi.
Wakiwa na shauku ya kupata zawadi, wafanyakazi wa TBL wakipata kinywaji huku wakisubiri bahati nasibu iliyoandaliwa na kampuni hiyo, wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>