MIKOA MITANO YATAKIWA KUWASILISHA USAJILI COPA 2014
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeitaka mikoa mitano kuwasilisha usajili wa wachezaji wake kwa ajili ya mashindano ya Taifa ya Copa Coca-Cola 2014 kabla ya Desemba 5 mwaka huu.Mikoa hiyo...
View ArticleRAIS KIKWETE AMUAPISHA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimkabidhi vitendea kazi baada ya kumuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam jana. (Picha na...
View ArticleHEPPY BESDEI MDAU DANIEL CHONGOLO
Mdau wa Globu ya jamii,Daniel Chongolo leo anasherehekea siku yake adhimu ya kuzaliwa, Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndiye ajuae sababu ya kumuacha hadi hii leo na hakuna...
View ArticleWAJASIRIAMALI WAELEZEA WALIVYOWEZESHWA NA PROMOSHENI YA SAFARI LAGER WEZESHWA...
Jacquline Shija Mazemle, aliyewezeshwa na TBL na kufanikiwa kuanzisha mghahawa maarufu wa FACEBOOK, ulioko karibu na Chuo Kikuu cha Kampala, Gongo la Mboto, Dar es Salaam.Akiandaa chakula na wenzake...
View ArticleKINANA AANDIKA HISTORIA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
ZIARA YA KINANA MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAINGIZA WANACHAMA ZAIDI YA 40,000 CCMMKUTANO WA HADHARA MTWARA MJINIWakazi wa Mtwara mjini wakishangilia wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM ukiongozwa na...
View ArticleBENKI YA CRDB YASAINI MKATABA WA HALI BORA ZA WAFANYAKAZI WAKE
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa uwekaji saini wa Mkataba wa Hali Bora za Wafanyakazi na Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Fedha, Viwanda, Biashara,...
View ArticleRidhiwan Kikwete kuzindua rasmi mazoezi ya Wakulima Jazz Band
Mbunge wa Chalinze, Mheshimiwa Ridhiwan Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mazoezi ya Bendi ya Wakulima inayoundwa na wanamuziki wakongwe nchini. Mbunge huyo ambaye ni mmoja wa...
View ArticleMembe mgeni rasmi mahafali UB
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe , Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).Kwa...
View ArticleMembe mgeni rasmi mahafali UB
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe , Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).Kwa...
View ArticleMWANAMKE AJIFUNGUA WATOTO 11 INDIA
Mwanamke wa India katika kile kinachoonekana kuwa maajabu ya dunia ya aina yake kuwahi kutokea duniani amefanikiwa kujifungua salama watoto wafuatao 11 (kumi na moja) kwa mara moja, jambo ambalo...
View ArticleMAZISHI YA MRAKIBU WA POLISI CAPT.KIDAI SENZALA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA...
Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es...
View ArticleSUMATRA YATAHADHARISHA WANAOSAFIRI KIPINDI CHA MSIMU WA SIKU KUU ZA MWISHO WA...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini, Dk Oscar Kikoyo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es salaam juu ya hali ya usafiri kipindi...
View ArticleMBOWE AWANADI WAGOMBEA WA SERIKALI ZA MITAA KUPITIA UKAWA KATIKA KATA YA...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akihutubia katika mkutano wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika katika viwanja Kata ya Vijibweni Kigamboni...
View ArticleMembe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, kesho Jumamosi Desemba 6 anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).Kwa...
View ArticleTAHADHARI KUTOKA MICHUZI MEDIA GROUP
MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA MICHUZI MEDIA GROUP (MMG) ANAPENDA KUTAHADHARISHA WADAU POPOTE WALIPO KUHUSIANA NA UJUMBE (PICHANI) AMBAO UPO KWENYE FACE BOOK NA HATA KWENYE TWITTER) KWAMBA UJUMBE...
View ArticleWagombea Chadema Mbarali wafungwa miaka miwili na nusu jela
NA KENNETH NGELESI, MBEYACHAMA cha DemokrasiA na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mbeya kimelaani hatua ya Mahakama ya Mwanzo Chimala Wilayani Mbarali, Kuwahukuma kutumikia kifungo miaka miwili na Miezi...
View ArticleUgonjwa wa sare waitesa Simba, yatoka suluhu naThe Express ya Uganda
Magolikipa wa Simba, Manyika Peter na Ivo Mapunda wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya mchezo wao wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya The Express ya Uganda, katika mchezo huo timu hizo hazikufunga....
View ArticleLWAKATALE AIBWAGA SERIKALI KESI YA UGAIDI
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare (wa tatu kushoto) akiongozana na familia yake wakati akitoka katika Mahakama ya Rufaa Tanzania, baada...
View Article