Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA OBAMA; MANISPA YA ILALA YATIMUA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO MITAA YA...

 Askari wa Manispaa ya Ilala wakiendesha zoezi la kuondoa wafanyabiashara ndogondogo katika eneo Posta mpya jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni operesheni ya kusafisha jiji la Dar es Salaam kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barclays Bank yaendesha droo ya pili ya Maisha Bomba na Barclays Golden...

Meneja Mawasiliano wa Barclays, Tunu Kavishe, (katikati), Kaimu Mkurugenzi wa Benki, Kitengo cha Wateja  Binafsi,  Musa Kitoi wakiwa na washindi wa droo ya pili ya Golden Briefcase Campaign jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shindano la Epiq Bongo Star Search 2013 lazinduliwa leo

 Ofisa Biashara Mkuu wa Zantel, Sajid Khan ambao ndio wadhamini wakuu wa shindano la Epiq Bongo Star Search 2013, akifafanua jambo wsakati wa uzinduzi wa shindano hilo. (Picha zote Habari Mseto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'MY BABY' YAFANYA KWELI KIDEONI

Na Elizabeth JohnVIDEO ya ngoma inayokwenda kwa jina la ‘My Baby’ iliyoimbwa na nyota wa muziki nchini, Quick Rocka, Shaa na Marehemu Ngwea imeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEE AISAMBAZA ALBAMU YA 'INNOCENT'

Na Elizabeth JohnKIONGOZI wa kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Ahmed Ally ‘Madee’, ameachia albamu yake mpya  inayojulikana kwa jina la ‘Innocent’ ambayo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya BADEA yaisaidia Tanzania dola 750 katika miradi ya maji na kituo cha...

 Waziri wa Fedha Dk. William Mgimwa akiongea jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika  (BADEA) Abdelaziz Khelef  wakati wa utiaji saini wa makubaliano ya kuisaidia Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘YAHAYA’ WA LADY JAY DEE AANZA KUTESA MTAANI

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Joto Hasira’ mwanadada ambaye anafanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ ameachia ngoma yake mpya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AISAMBAZA VIDEO YA 'UKIMWONA’

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ ameisambaza video ya ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Ukimwona’ ambayo inafanya vizuri katika vituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOSHUA NASSARI AKIMBIZWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akichukuliwa vipimo na Daktari kabla ya kupanda ndege ya kukodi kupelekwa jijini Dar es Salaam katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘SIPENDI KUIONA SOWETO YA TANZANIA'

Na Bryceson MathiasWAKATI wananchi wa Afrika Kusini chini Mpigania Uhuru, Nelson Mandela, walipokuwa wakidai Uhuru wa kujikomboa, ilifikia mahali kule Soweto, Askari wa Makaburu waliwaua watu waliokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KATI YA TIMU YA BENKI YA NMB NA WABUNGE JIJINI DODOMA MWISHONI...

KatikakuendelezanakuimarishamahusianomazurikatiyaBenkiya NMB na waheshimiwa wabunge, Benkiya NMB iliandaa mtanange wa kukata na shoka ambao ulihudhuriwa na mashabiki wa timu hizo mbili ambao ni wakazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NASSARI AENDELEA NA MATIBABU MOI

 Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akionesha simu yake ya mkononi iliyokuwa na matukio ya tukio la kufavamiwa kwake. Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa katika hospitali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAZINDUA FAHARIHUDUMA

 Meneja Mahusiano wa CRDB, Godwin Semunyu (wa pili kushoto) akiwa amepozi kwa picha na maofisa wa benki hiyo dakika chache kabla ya kumpokea na kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo Dk....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE NA LEMA WAJISALIMISHA POLISI

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akitoka Polisi baada ya kuhojiwa.MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiongozana na Mbunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU WA CHADEMA ALIYEKUFA KATIKA MLIPUKO WA MBOMU AZIKWA LEO

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakiongozwa na Grace Kiwelu (Viti Maalum) na Godbless Lema (Arusha Mjini) wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Kata ya Sokoni...

View Article

Tabora Marathon yaishukuru Vodacom

  Na  Mwandishi WetuMSHAURI   wa ufundi  wa kamati  ya maandalizi  mbio za Tabora Marathon Tullo Chambo, ameishukuru kampuni ya simu ya vodacom kwa msaada wa fulani 100 zilizotolewa jana jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI YAGAWA KWENYE MABAA VIFAA 130 VYA KUHIFADHIA TAKA DAR

 Meneja Mauzo na Usambazaji wa kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), Mwesige Mchuruza (kushoto), akimkabidhi Meneja wa Baa ya Calabash iliyoko Mwenge, JUMA Kihoma, kifaa cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete meets African Pioneers Against AIDS Scourge

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete pose for a group photograph with some  members of  African leaders who are pioneers of War against AIDS pandemic in Africa. From left a Kenyan Public Health advocate...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA MWAIKELA

MKE wa Rais,Salma Kikwete akiaga mwili wa marehemu, George Mwaikela ambaye ni mwana familia wa Kikwete na Mwenyekiti wa Chama Cha Wachimba Madini mkoa wa Mbeya (MBEREMA)aliyefariki kwa ajali ya gari...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live