Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOMU ZA UONGOZI BFT ZADODA

Na Elizabeth JohnWADAU wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) wameshauriwa kujitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi mbali mbali za uongozi wa chama hicho baada ya viongozi waliopo madarakani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TENISI KUCHAGUANA JUNI 22

Na Elizabeth JohnWAKATI zoezi la kuchukua na kurudisha fomu za kugombea uongozi wa Chama Cha Tenisi Tanzania (TTA), lilifika tamati tarehe Juni 17, Mwenyekiti anayemaliza muda wake, Denis Makoi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamia wajitokeza Epiq Open Mic

Vijana waliojitokeza wakiwa kwenye foleni.  Jopo la washauri likongozwa na Marco Chali (wa pili toka kulia), akifuatiwa na Dknob, Walter na mwisho kulia ni Godzila Mmoja wa vijana akiimba mbele ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA KONYAGI YAWAPA WABUNGE SEMINA KUHUSU VIROBA

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya TDL, David Mgwasa akizungumza wakati wa Semina ya wabunge wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara iliyofanyika mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.Meneja Mauzo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YA ZINDUA CHAP CHAP AKAUNTI KWA AJILI YA WATANZANIA WASIO NA...

Benki ya NMB imeendelea kuwa kinara katika kubuni na kuboresha huduma mbali mbali za kibenki, ili kuwawezesha wateja wake kupata unafuu na urahisi wa upatikanaji wa huduma za kibenki nchini Tanzania....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDADI YA VIFO MLIPUKO WA BOMU ARUSHA VYAONGEZEKA

 Baadhi ya majeruhi wa mlipuko wa bomu lililotokea mwishoni mwa wiki mjini Arusha.ARUSHA, TanzaniaIDADI ya watu waliokufa kutokana na mlipuko wa bomu uliotokea mwishoni mwa wiki wakati Chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete meets Lord Hurd of Westwell

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets with the Chairman and FIRST advisory council Rt. Hon Lord  Hurd of Westwell(right) in London this morning. Left is FIRST Chairman Mr. Rupert Goodman .FIRST is a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA; CCM, CHADEMA WANYOOSHEANA VIDOLE

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza  na waandishi wa habari leo mjini Dodoma.Itakumbukwa tarehe 16/06/2013 ilikuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa madiwani kwa baadhi ya kata nchini....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATHIS BOLLY: YOSO ALIYERITHISHWA JEZI YA DROGBA IVORY COAST

 Mathis Bolly, akiwajibika dimbani akiwa na jezi namba 11 ya nahodha wa Ivory Coast Didier Drogba. Hii ilikuwa ni mechi ya ushindi wa 3-0 iliyovuna Ivory Coast dhidi ya Gambia.Bolly akiwa katika jezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETI YA TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA HATUCHUKUI MILIONI 100 ZA SERIKALI KWA USHAHIDI WA ARUSHA

John Mnyika (MP)Na MwanablogPamoja na kuwa wana ushahidi wa Picha, Mikanda ya Video inayoonyesha jinsi Polisi walivyoshiriki kulipua bomu la Arusha, Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wamesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge Iwahoji Wakuu wa Usalama

Na Bryceson MathiasNI Muda Muafaka sasa, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge ichukue Jukumu lake iweze kuwaita na kuwahoji Wakuu wa Usalama wajieleze mbele ya Kamati kwa nini hali ya Usalama wa Raia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'YOHANA MTAKATIFU' KUZIPIGA MANZESE

Kwa mara nyingine limeandaliwa pambano la ngumi la ki aina yake ni kati ya mabondia wakimya na wapole usoni  na wasiopenda kabisa kuongeaYohana Robert  aliekuwa bondia wa taifa na mkongwe katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Z-KILIMO KUWANUFAISHA WAKULIMA

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mazao Kutoka  Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Dk. Mshindo Msolla akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya taarifa za kilimo kupitia Kampuni ya simu ya mkononi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIGERIA YAIFYATUA TAHITI 6-1 KOMBE LA MABARA 2013

 John Obi Mikel wa Nigeria (kushoto), akimtoka kiungo wa Taihiti katika mechi ya ufunguzi Kundi B la michuano ya Kombe la Mabara 2013. Katika mechi hiyo, Nigeria ilishinda mabao 6-1 na kuongoza kundi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimanjaro Premium Larger kuanza ‘Kili Music Tour 2013” kwa kishindo Dodoma!

Dar es Salaam, Tanzania, Juni 18, 2013: Tanzania Breweries Limited (TBL) chini ya nembo yake  ya  Kilimanjaro  Premium  Lager,  inaanza  rasmi  tamasha  kubwa  la muzikilijulikanalo kama ‘Kili Music...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU ARUSHA; TUNDU LISSU, MUSTAFA AKOONAAY MBARONI

Moto  uliowashwa na baadhi  ya watu wakifunga barabara baada ya kutawanywa na Polisi kwa mabomu  ya machozi katika viwanja vya SOWETO vilivyopo jijini hapa, barabara  Iiliyopo eneo la Kaloleni. (Picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tailor-Made Conference Packages right at the Heart of Arusha

Contact Us Today:Tel: +255 27 205 0075 , +255 786 066 060Email: gm@eastafricanhotel.com

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPF IKATAE MCHEZO MCHAFU WA WAAJIRI

Mkurugenzi Mkuu wa PPF,  William ErioNa Bryceson MathiasMFUKO wa Pensheni ya Mashirika ya Umma (PPF) na Waajiri nchini, wametakiwa kuacha siasa na Mchezo Mchafu wa kutotekeleza Sheria za nchi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi kidato cha Sita wabebeshwa mzigo wa ualimu wa Sayansi Rombo

 Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Nduweni Sekondari, Venance Mramba. Baadhi ya wanafunzi Sekondari ya Nduweni wakiwa darasaniBaadhi ya wanafunzi wa Sekondari ya Urauri, Wilaya ya Rombo.Sehemu ya maktaba ya...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>