Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kala Jeremiah, Twanga Pepeta, Godzila, Jhiko Man kupagawisha ‘World Music Day’

Kala JeramiahTamasha la muziki la kimataifa ambalo hufanyika Juni 21 kila mwaka la ‘World Music Day’ linafanyika leo Ijumaa katika viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam ambapo wanamuziki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAMPA SHAVU MATALUMA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akipokea mic kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Mataluma baada ya kumtaka aanza kuimba kabla ya msanii huyo kuanza kuimba wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUIZA MBUTU KUJA NA 'MAISHA BAADA YA NDOA'

Na Elizabeth John BAADA ya miaka michache kutoka na wimbo wa Kuolewa, mwanamuziki Luiza Mbutu, anatarajia kuachia single nyingine ya ‘Maisha baada ya kuolewa’.Akizungumza na Habari Mseto, Mbutu alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILAMU YAMFANYA IRENE PAUL AJIFUNZE KUENDESHA BAJAJI

Na Elizabeth JohnAKIWA bado anafanya vizuri katika filamu, mwanadada  Irene Paul amesema kwamba filamu ya kibajaji  ilimfanya ajifunze kuendesha chombo hicho kwa lazima ili kuleta uhalisia.Japo awali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'SUJUTII KWA NILIEKUWA NAE' YA BARNABA VIDEONI

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Barnaba Elias ‘Barnaba’ ameachia video ya kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Sijutii kwa niliekuwa nae’ ambacho kinafanya vizuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKIBUDI ASHUKURU MAPOKEZI YA 'DIKTETA'

Na Elizabeth JohnMUIGIZAJI wa filamu nchini, Mohamed Nurdin ‘Chekibudi’ amewashukuru wadau na wapenzi wa kazi zake baada ya kumpokea vizuri na kazi yake inayokwenda kwa jina la ‘Dikteta’, ambayo...

View Article

Wanaharakati Waichambua Bajeti Mpya ya Serikali 2013-14

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na wanaharakati ngazi ya jamii kutoka mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Morogoro, Pwani, Shinyanga na wadau wengi wa mtandao huo wameichambua bajeti mpya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMINI 'HAYUPO NAE'

Na Elizabeth John BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha ‘Ni wewe’, Mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amin Mwinyimkuu ‘Amini’ anajipanga kuachia video ya kibao chake cha ‘Sipo nae’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANKAL AISHUKURU HOSPITALI YA KILUTHERI YA HAYDOM KWA KUMHUDUMIA VYEMA MWANAE

Nachukua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kutoka katika kilindi cha moyo wangu kwa Hospitali ya Kilutheri ya Hydom iliyoko mkoani Manyara kwa matibabu waliyompatia mwanangu Ally Hassan (16)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI MKOANI SHINYANGA YAONDOA BAADHI YA MICHANGO INAYOWAELEMEA WAZAZI

Serikali Mkoa Shinyanga imeondoa baadhi ya michango inayotozwa katika shule za Sekondari ambayo imekuwa kero na mzigo kwa wazazi, hasa mwanafunzi anapoanza kidato cha kwanza.Maamuzi hayo yamefikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE ENEO MAALUM LA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia wakazi wa jijini Tanga, wakati alipofika eneo la Pongwe jijini Tanga leo Juni 21, 2013 kwa ajili ya kuweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA PINDA; ASIYETII PIGA TUMECHOSHWA ITAMLIZA TENA?

‘Ngariba ukimpa mtoto atamfanya vyoyote atakavyo’Na Bryceson MathiasKUTOKANA na watanzania nchini kupoteza Imani na Jeshi la Polisi kila Kona ya nchi, kuwa linakisaidia Chama Tawala (CCM), huenda Kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA PINA 'NABII KOKO' APIGA BONGE LA SHOO

 Chid Benz akikonga nyoyo za mashabiki wake wakati wa shoo ya Kikosi cha Mizinga kutimiza miaka 13 iliyofanyika katika ukumbi wa New Msasani jijini Dar es salaam. (Picha zote na Habari Mseto Blog)....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUCY TOMEKA ATWAA TAJI LA REDD'S MISS KINONDONI 2013

 Mshindi wa Redds Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka akivalishwa taji lake na mrembo aliyekuwa akilishikilia taji hilo Redds Miss Tanzania 2012/2013, Bright Alfred. Lucy Tomeka aliweza kuchukua taji hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKITA LAMFAGILIA DK. ASHA-ROSE MIGIRO KWA KUKIENZI KISWAHILI

DAR ES SALAAM, TanzaniaNAIBU Katibu Mkuu Mstaafu wa Umnoja wa Mataifa (UN), Dk. Ash-Rose Migiro (pichani kushoto) amesifiwa kwa umahiri wa wake wa kutoingiza athari za Kiingereza katika Kiswahili,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI WA KIMATAIFA WA CROATIA AFIA UWANJANI

 Alen Pamic aliyelala, akipatiwa huduma ya kwanza na wachezaji wenzake katika moja ya mechi alizowahi kuzimia uwanjani hivi karibuni kutokana na matatizo ya moyo.Alen PamicZAGREB, CroatiaHivi karibuni,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWILI WAKAMATWA KUFUATIA TUKIO LA KUVAMIWA MBUNGE WA KASULU

ACP-David MisimeMnamo tarehe 20/06/2013 majira ya 19.00 hrs maeneo ya Area ‘E’ Manispaa ya Dodoma Mheshimiwa MOSES S/O MACHALI, miaka 31, Muha, Mbunge wa Kasulu Mjini kupitia NCCR – Mageuzi wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMPONGEZA ASKOFU MKUDE KUTIMIZA MIAKA 25 YA UASKOFU.

Rais  Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Telesphori  Mkude wa jimbo katoliki Morogoro wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 25 ya Uaskofu  wake (Silver Jubilee)zilizofanyika katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI UVCCM TAIFA SADIFA JUMA HAMISI APINGA MFUMO WA SERIKALI TATU

MWENYEKITI wa Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi Taifa (UVCCM), Sadifa Juma Hamisi, amepinga vikali kuwepo kwa mfumo wa serikali tatu kama inavyopendeka rasimu ya katiba.Mwenyekiti wa UVCCM Taifa,...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>