Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

JOSHUA NASSARI AKIMBIZWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI

$
0
0
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akichukuliwa vipimo na Daktari kabla ya kupanda ndege ya kukodi kupelekwa jijini Dar es Salaam katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi kutokana na majeraha aliyoyapata kutokana na kushambuliwa na watu wasojulikana katika vurugu zilizotekea wakati wa uchaguzi wa udiwani mjini Arusha hivi karibuni.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>