Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIRUKI HOSPITALI YAINGIZA MTAMBO MAALUMU WA UPASUAJI

NA MIKA NDABAHOSPITALI ya Kumbukumbu ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, imeingiza mtambo maalumu wa kisasa kutoka Kampuni ya Ethicon ya Marekani utakaokuwa ukitumika katika upasuaji wa  kawaida...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA RAIS WA UJERUMANI KATIKA PICHA

 Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck akimkabidhia zawadi Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front, Dk. Alex Malasusa alipotembelea kanisa hilo la kihistoria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA KIMATAIFA LA MAKATIBU MUHUSUSI KUFANYIKA DODOMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIC YAKUTANA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHINI UJERUMANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC),Juliet Kairuki (wa pili kushoto) akizungumza katika mkutano maalum kati ya Uongozi wa TIC na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Early Childhood Development Network (TECDEN) Your partner in child...

Tanzania Early Childhood Development Network (TECDEN) is a network that is formed by various Organizations which are working to improve children livelihood in Tanzania.This Network was established in...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIRUKI HOSPITALI YAINGIZA MTAMBO MAALUMU WA UPASUAJI

NA Mwandishi WetuHOSPITALI ya Kumbukumbu ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, imeingiza mtambo maalumu wa kisasa kutoka Kampuni ya Ethicon ya Marekani utakaokuwa ukitumika katika upasuaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILELE CHA WIKI YA SHERIA KATIKA PICHA

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Majaji.Rais Kikwete akizungumza katika hafla hiyo.Baadhi...

View Article

TFF YAPATA OFISA HABARI MPYA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu.Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa Habari wa klabu ya Young Africans,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI 11 ZA KIISLAM KUSUSIA KURA ZA MAONI

Naibu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam na Shura ya Maimam, Rajab Katimba(kushoto) akitoa tamko la kuungana na taasisi 11 kupinga kuipigia kura Katiba inayopendekezwa. Kulia ni  Shekh, Hassan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barcalys yazindua huduma za kuweka fedha kwenye mashine za ATMs

Add captionNa Mwandishi WetuBenki ya Barclays Tanzania imethibitishia umma wa watanzania ukuaji wake wa kasi wa teknolojia kwa kuzindua huduma mpya na ya kisasa ya kuweka pesa kwenye mashine zake za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHY ROSE BHANJI AJITOLEA KUCHONGA BARABARA YA MBWENI - MALINDI

 Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa...

View Article

TAARIFA KWA UMMA MUINGILIANO WA MASAFA

  JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIAISO 9001: 2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMAKUHUSU MUINGILIANO WA MASAFA YA EATV NA ITV KUPITIA KING’AMUZI CHA KAMPUNI YA STAR MEDIA KATIKA...

View Article

KAMATI YA NIDHAMU YAWAADHIBU NYOSO, MORRIS

  Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungia kati ya mechi tatu na nane wachezaji Juma Nyoso wa Mbeya City na Aggrey Morris wa Azam kutokana na makosa ya kinidhamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aga Khan kuisaidia Hospitali ya Temeke

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (katikati) akiongozana na viongozi wa hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake leo katika hospitali hiyo. NA MWANDISHI WETU  HOSPITALI  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HANS MACHA ASHINDA KESI

NA MWANDISHI WETUMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imethibitisha kwamba mfanyabiashara Hans Macha alinunua nyumba kwa kufuata utaratibu na kihalali kutoka kwa Ramadhani Balenga.Hayo yalithibitishwa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AFANYA ZIARA TANZANIA DAIMA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye  (kushoto) akipeana mkono Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alipotembelea ofisi za gazeti la Tanzania Daima. (Picha na Francis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA JAJI AUGUSTINO RAMADHANI,...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, Mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani,  wakati wa mazishi Ijumaa February 6,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEND OFF YA ZOURHA MALISA WA TIMES FM RADIO YAFANA DAR

 Mtayarishaji wa Vipindi wa Radio FM, Zourha akimkabidhi zawadi ya Laptop mume wake mtarajiwa  ambaye pia ni Mtalaamu wa IT wa kituo hicho, George Zuri wakati wa sherehe ya kuagwa kwenye Ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MASOKO YA FEDHA KWA WABUNGE

 Ofisa Masoko wa Kampuni ya UTT, Bi. Kilave (kulia) akiwa na Ofisa Mkuu wa Kampuni ya Maendeleo ya Miundombinu ya UTT-PID, Shakiru Abdulkarim wakitoa elimu ya Uwekezaji kwenye Masoko ya Fedha kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAJICHIMBIA KILELENI, YAIFUNGA MTIBWA SUGAR 2-0

 Beki wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi akimdhibiti beki wa Yanga, Mbuyu Twite.Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akichuana na beki wa Mtibwa Sugar,  David Luhende wakati wa mchezo wa Ligi...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>