Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILIKUNJOMBE AWATAKA VIONGOZI WA KISIASA KUTOWASAHAU WANANCHI WALIOWACHAGUA...

Mbunge wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  akitoa  salama  za  pole kwa  wafiwa  wakati wa mazishi ya MNEC wilaya ya  Ludewa  Elizabeth HauleMchumi  wa  UWT  mkoa  wa Njombe Dr  Suazana  Kolimba...

View Article


Wadau waomba kurudishwa kituo cha Mwenge

WADAU wa usafiri waliokuwa wakitumia Kituo cha Mabasi (Daladala), Mwenge wameiomba serikali kufungua kituo hicho kilichokuwa kimefungwa Juni mwaka jana, kuhamishia shughuli zake Makumbusho.Akizungumza...

View Article


MGOGORO ULIOZUIA MRADI WA MAJI LUGULUNI WAPATA SULUHU

MGOGORO uliyokwamisha mradi mkubwa wa maji katika vitongoji vya Liwale na Kwamsamati, vilivyoko mtaa wa Luguluni Kata ya Kwembe wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam sasa umepatiwa suluhu.Mradi huo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMA ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA ILIYOPOTEZA WATU SITA...

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya (wa tatu kulia) wakiomboleza msiba wa familia ya watu sita waliofariki kwa ajali ya moto juzi.  Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IVORY COAST MABINGWA AFRIKA

Kocha wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Herve Renard akishangilia baada ya timu yake kuifunga Ghana katika mchezo wa fainali ya michuano ya Afcon kwa mikwaju ya penalti 9-8. Wachezaji wa Ivory Coast...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE: HAKUNA MGOMBEA ATAKAYEPITISHWA CCM KWA PRESHA ZA MAKUNDI, NI KWA...

NA BASHIR NKOROMOChama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKILI: MAHAKAMA IMEMTENDEA HAKI MACHA

NA MWANDISHI WETUUPANDE wa utetezi katika kesi iliyokuwa ikimkabili mfanyabiashara Hans Macha, umesema Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetenda haki kwa kuthibitisha kuwa mteja wao alinunua nyumba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya...

View Article


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliketi jana Jumapili tarehe 08 Februari, 2015 katika kikao chake cha kawaida.  Pamoja na kujadili maandalizi ya Mkutano Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA...

 Mama mzazi wa Kapteni David Mpila akiweka udongo katika kaburi la mtoto wake marehemu David Mpila leo wakati wa mazishi ya watu sita waliokufa kwa ajali ya moto baada ya nyumba yao kuteketea kwa moto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WAUNGUZA JENGO LA NHC

Jengo la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lililopo makutano ya mitaa ya Libya na Mosque jijini Dar es Salaam likiteketea kwa moto ambao ilidaiwa ulisababishwa na hitilafu ya umeme. (Na Mpiga Picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBN WATOA UBANI KWA MWANAHABARI CONRAD MPILA ALIYEFIWA NA WATU SITA WA...

 Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (Tanzania Bloggers Network - TBN ), Joachim Mushi (kulia) akitoa pole na kisha kukabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000/-) jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA SHULE YA SEKONDARI AMKIMBIA MBUNGE CHIKU ABWAO

 Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema CHIKU ABWAO akikagua jengo lilokumbwa na ajali ya moto. Mbunge  CHIKU ABWAO akiwa katika eneo la nje ya jengo liloungua.Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Jakaya Kikwete azindua jengo la kibiashara (KILIMANJARO COMERCIAL...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi jengo la kitega uchumi mjini moshi Mradi huu ni wa ubia kati ya NSSF, Tanzania Red Cross (TRCS), UMATI na Tanzania Girl...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 5-2

Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam...

View Article

Red Arrows FC kujifua Tanzania

TIMU ya Red Arrows FC ya Zambia, inatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam, Tanzania Jumatatu ya wiki ijayo, kwa ajili ya kuweka kambi ya mafunzo ya wiki moja kujindaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, NHC mafunzoni Afrika Kusini

Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (nec) YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kushoto), akisisitiza jambo kwa Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia (kulia) na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, walipokutana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>