Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AANZA KUMTENGENEZEA SOKO WEMA

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amesema yupo kwenye mazungumzo na muigizaji mkubwa Nigeria ili aanze kufanya kazi na mpenzi wake ambaye pia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO MUSIC: MAISHA YA USTAA NI SHIDA

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Basi Nenda’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema, staili ya maisha yake imebadilika kutokana na umaarufu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAFSA KAZINJA AMTAJA 'MLALA NJE'

Na Elizabeth JohnMSANII wa muziki wa kizazi kipya katika miondoko ya Zouk, Hafsa Kazinja ameachia video ya wimbo mpya ‘Mlala nje’ na kusambaza katika vituo mbalimbali vya televisheni. Mwanadada huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wasikitishwa Yanga kutokwenda Kagame

Abbas MtemvuNA CLEZENCIA TRYPHONE MBUNGE wa Jimbo la Iramba Mwigulu Nchemba na wa Temeke Abbas Mtemvu, wamesema kitendo cha Yanga kutoshiriki michuano ya Kagame inayoendelea kutimua vumbi Mjini Kigali,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaburu: Simba mtaipenda tu

NA CLEZENCIA TRYPHONELICHA ya timu ya Simba, kukubali kichapo cha mabao 3-0 dhidi ya Zesco katika mchezo wa sherehe yao ya ‘Simba Day’ mwishoni mwa wiki iliyopita, uongozi wa timu hiyo, umesema...

View Article


Viongozi Taifa Stars waidai TFF

NA MWANDISHI WETUVIONGOZI wa benchi la ufundi la Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ pamoja na madereva wa mabasi ya timu hiyo, wamelikalia kooni Shirikisho la Soka Tanzania, ili liwalipe stahiki zao, licha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGERA AJIFUNGA MIAKA MIWILI SIMBA

NA CLEZENCIA TRYPHONEMSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Raphaer Kiongera (pichani), anatarajiwa kumwaga wino wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi Kariakoo Jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA...

Mwanamitindo Flaviana Matata (wa tatu kutoka kulia waliosimama nyuma) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule ya  Msingi Mnengulo mkoani Lindi. Jumla ya wanafunzi 650 wa shule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIA WA COLOMBIA AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA

Mkuu wa Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya,Godfrey Nzowa akionesha Cocainezilizokuwa zimefichwa katika mkanda wa suruali aliyokuwa amevaa raia wa Colombia, Andres Filipe Ballesteros Uribe (28),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA...

Mwanamitindo Flaviana Matata (wa tatu kutoka kulia waliosimama nyuma) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule ya  Msingi Mnengulo mkoani Lindi. Jumla ya wanafunzi 650 wa shule...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinondoni kutoa Redd’s Miss Tanzania

Na Mwandishi WetuKUMEKUCHA! Miss Kinondoni anayemaliza muda wake, Lucy Tomeka, ametamba ni lazima mrembo wa Redd’s Miss Tanzania mwaka huu atoke Kinondoni.Lucy alisema ana uhakika huo mkubwa kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE WA BUNGE LA KATIBA AJERUHIWA

  Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samuel Sitta akimjulia hali mjumbe wa Bunge Maalum kutoka kundi la 201, Thomas Mgoli aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma baada ya kujeruhiwa na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAZINDUA HUDUMA YA INDIA DESK

Balozi wa India, Shri Debnath Shaw (wa tatu kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRD, Dk. Charles Kimei (wa pili kushoto), wakizindua kwa pamoja huduma mpya ya India Desk  inayowaunganisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAPELEKA VETERANI TANGA

Mshambuliaji wa timu ya Kombaini ya Tanga, Kassim Jumaa (kushoto), akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Survey veterani, Ahmad Rasuli (katikati), wakati wa mchezo maalum wa kusherehekea Sikukuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANALIBENEKE DOTTO KAHINDI NA ELIZABETH NGUMA WAMEREMETA

Baada ya kuwa marafiki kwa zaidi ya miaka minane Dotto Paul Kahindi (Mandolin) na Elizabeth Riziki Morris Nguma, Agosti 9, 2014 Mungu amewajalia kufunga pingu za maisha kwenye kanisa la Katoliki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO YA AIRTEL RISING YASHIKA KASI

Naodhaa wa timu ya Ilala, Maisala Adam (kulia) akimiliki mpira asinyang'anwye na mshambuliaji wa Kinondoni, Ibrahimu Chuli wakati wa michuano ya Airtel Rising Stars inayofanyika katika Uwanja wa Karume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Review Class for the 13th December 2014 CISA & CISM Exams

                             Registration is NOW open for CISA & CISM Review Class for the forthcoming CISA & CISM exam on 13thDecember, 2014. Our Reviews are due to begin on Monday 25th...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BI VAILET MAKAZI WA MTANANA WILAYANI KONGWA AOMBA MSAADA ILI AKAFANYIWE UPASUAJI

Na John Banda, KongwaBi Vailet Sekwao (40) mkazi wa kijiji cha Mtanana Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, anaomba msaada wa kifedha kiasi cha shilingi million mbili (2) ili aweze kufanyiwa upasuaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKAGUA UJENZI WA KISIMA CHA MAJI CHA ZAHANATI YA MAKUBURI

 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kushoto), na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwongozo, James Ngoitanile (wa tatu kushoto) wakiangalia kisima kipya cha maji...

View Article

TFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI COASTAL UNION

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) halitambui mabadiliko ya uongozi ndani ya Coastal Union yanayodaiwa kufanywa na mkutano wa wanachama wa klabu hiyo uliofanyika hivi karibuni.Uongozi wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live