Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE NA NAPE WAHANI MISIBA YA WALIOPATWA NA AJALI MTAMA NA KUTEMBELEA MAJERUHI

Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe akisalimiana na Salum Said Mchora ambaye amepoteza mtoto wake wa kiume...

View Article


COASTAL UNION YATOA UFAFANUZI KUHUSU MAAMUZI YA MKUTANO MKUU

NA MWANDISHI WETU,TANGAUONGOZI wa Klabu ya Coastal Union umesema kikao cha wanachama kilichoketi mwishoni mwa wiki iliyopita kilikuwa na agenda kuu mbili ikiwemo kumjadili Mwenyekiti wao aliyejiuzulu...

View Article


Mahabusi ya watoto Tanga kupatiwa fedha

Na Eleuteri Mangi-MAELEZOSerikali imetenga fedha zitagawiwa kwenye vituo vyote vinavyotoa ushauri nasaha na kurekebisha watoto walio chini ya umri wa miaka 18 vilivyo chini ya Idara ya Ustawi wa jamii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMESAHAU LAPTOP YANGU AINA YA HP KWENYE HAFLA YA UZINDUZI WA SABUNI MPYA YA...

Ndugu mpendwa nimesahau Laptop yangu aina ya HP wakati wa hafla ya uzinduzi wa sabuni ya Omo Fast Action katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Kwa yeyote ambaye atakuwa nayo naomba uwasiliane...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO 20 KUGOMBEA REDD'S MISS K'NDONI

Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redd's Miss Kinondoni wakiwa katika picha ya pamoja.NA MIKA NDABASHINDANO la Redds Miss Kinondoni linatarajia kuwashusha jukwaani warembo 20 watakaowania taji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Survey Veterani yawakubali NSSF

 Kikosi cha Timu Ya Survey wakiwa katika picha ya pamoja. Wachezaji wa Survey Veterani wakiwa katika picha yapamoja Wachezaji wa Coastal U 20  kabla ya mechi.Mchezaji wa Timu ya Survey Veterani Hamad...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK.Shein Atembelea Karakana Matrekta Mbweni leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu wa  kitengo cha uchongaji wa vifaa katika Karakana ya Wizara ya Kilimo na Maliasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONDE APANDISHWA KIZIMBANI

Mtangazaji wa Clouds fm, Ephraim Kibonde na Gadner G Habash Wakiingia katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.NA Mwandishi WetuWATANGAZAJI wawili, akiwemo Ephraim Kibonde (42)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WATEKETEZA MSIKITI WA MTAMBANI

 Moto ukiunguza jengo la Msikiti waMtambani. (Picha zote na Francis Dande) Wananchi wakichota maji katika harakati za kusaidia kuzima moto. Askari wakiimarisha ulinzi. Polisi wakiwa wakiwa katika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMA KASEJA AWA BALOZI MPYA WA NSSF

Golikipa wa timu ya Yanga, Juma Kaseja, ambaye ni mwanachama wa Hiari wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), akikabidhiwa mkataba kutoka kwa  Mwanasheria wa NSSF, Chedrick Komba kuwa Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KAMANI ANG'ARA KIMATAIFA, APEWA TUZO

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani (Pichani), amepewa Tuzo ya Utawala Bora katika kipengele cha Watendakazi Bora Serikali barani Afrika kutokana na wizara yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Seedco Yazindua Mashindano ya Mashamba Darasa

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mbegu ya (Seedco), Frank Wenga akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Arusha juzi, kuhusu mashindano ya mashamba darasa katika Shule za Msingi...

View Article

MADALALI WA KORTI WAKAMATA BASI LA TFF

Basi la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekamatwa na madalali kwa amri ya mahakama kutokana na deni la sh milioni 140 ambalo tunadaiwa hadi litakapolipwa.Amri hiyo imetokana na deni hilo...

View Article


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Jeshi la Ulinzi la Wananchiwa Tanzania (JWTZ), linatarajia kuzindua huduma ya Tiba kwa jamii kuanzia tarehe 15Agosti2014 hadi 19 Agosti2014 kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi 12:00 jioni katika viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAA yaipatia shule ya Yombo madawati 100

Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleman Suleman, (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada wa madawati kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi Yombo, Abdallah Ally....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. LOWASSA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA JAPAN NCHINI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Masaki Okada wakati alipo mtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO MAALUM CHA KAMATI YA TAIFA YA MAAFA (TANDREC) CHAFANYIKA LEO, JIJINI...

 Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Maafa (TANDREC), Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka akiongoza Kikao Maalum cha Kamati ya Taifa ya Maafa(TANDREC) ambayo, inaundwa na Washiriki wakuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COASTAL UNION KUKIPIGA NA HANDENI CITY KESHO

TIMU ya soka Coastal Union ya Tanga kesho  inatarajiwa kucheza mechi ya kirafiki na Handeni City mchezo unaotazamiwa kuchezwa kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PHIRI AANZA KUWANOA WACHEZAJI-SIMBA

Kocha wa Simba, Patrick Phiri akizungumza na wachezaji wa timu yake kabla ya kuanza kwa mazoezi kwenye Uwanja wa Bunju Ununio jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) wAWachezaji wa Simba,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NJOO UANZE WEEK-END KWA KUSAKATA RHUMBA NA SKYLIGHT BAND LEO THAI VILLAGE-MASAKI

Divas wa Skylight Band kutoka kushoto Aneth Kushaba AK47, Mary Lucos na Digna Mbepera kwa pamoja wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiwanja chao cha nyumbani Thai...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live