
Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mgoli hospitalini.
DODOMA, Tanzania
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka kundi la 201,Thomas Mgoli amelazwa katika hospital ya mkoa Dodoma baada ya kudai kupigwa na watu wasiojulikana.
Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao usiku majira ya saa moja eneo la Area D anakoishi.
Amedai kuwa hukutana na vijana hao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini walimshambulia kwa kumwambia kuwa yeye ni CCM.
Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao usiku majira ya saa moja eneo la Area D anakoishi.
Amedai kuwa hukutana na vijana hao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini walimshambulia kwa kumwambia kuwa yeye ni CCM.