Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE MANDELA AFANYIWA MAOMBI MAALUM

Mandela anaendelea kupokea matibabu hospitaliniAskofu Mkuu wa Kanisa la Kianglikana mjini Cape Town, Afrika Kusini, Thabo Makgoba, amejitolea kufanya maombi kwa niaba ya Rais mstaafu Nelson Mandela...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA JEREMIAH, NEY WA MITEGO WAMTETEA OMMY DIMPOZ

 Msanii Ommy Dimpoz akizungumza baada ya kukabidhiwa tuzo ya KTMA 2013 kwenye Ukumbi wa Mlimani City Juni 8. Kushoto ni Wema Sepetu anayefuatiwa na Vanessa Mdee.Kala Jeremiah akitoa shukrani baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NUSU FAINALI KOMBE LA MABARA 2013: NI HISPANIA VS ITALIA LEO

Kiungo Cesc Fabregas wa Hispania kushoto, akitafuta mbinu za kumtoka Andrea Pirlo wa Italia katika fainali ya Euro 2012RIO DE JANEIRO, Brazil Baada ya jana kushuhudia mchuano wa miamba ya Amerika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALTER AISAMBAZA 'DORODORO'

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Siachi’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Walter Chilambo ameachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Dorodoro’.Akizungumza na Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMEKUCHA MASHINDANO YA RIADHA YA VIJANA

Na Elizabeth JohnSHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limesema maandalizi ya mashindano ya vijana ya kanda ‘Eastern Regional Jr Championship’ yanaendelea vizuri baada ya kuwa na uhakika wa kuendesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PDP ATAKA 'WACHAGA WAUNGANE'

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la Solid Ground family, PDP ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Wachaga tuungane’ ambayo imeanza kufanya vizuri katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

WADAU WA MTANDAO WETU WA FULLSHANGWE TUNAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA KUANZIA LEO KUTOKANA NA MTANDAO WETU KUTOKUWA HEWANI KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WETU HATA HIVYO WATAAAMU WETU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA REDD'S MISS TEMEKE YAPAMBA MOTO

 Warembo  wa Redd's Miss Temeke picha ya pamoja, warembo hao watapanda jukwaani Julai 5 katika ukumbi wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA SRI LANKA AWASILI NCHINI

 Ndege aliyokuja nayo Rais wa  Sri Lanka, Mahinda Rajapaksa ikitua katika  Uwanja wa  Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius  Nyerere jijini Dar es Salaam mara  baada ya kuwasili nchini leo. (Picha zote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akutana na Kiongozi wa Shirika la UNDP bi.Helen Clark ikulu

 Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Kiongozi wa Shirika la UNDP (UNDP Administrator) Bi. Helen Clark ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. (Picha na Freddy Maro).

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA MAFUNZO YA UOFISA NA UKAGUZI MSAIDIZI WA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifunga rasmi mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, leo Juni 27,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika wa Bunge la Oman na Ujumbe Wake wakutana na Rais Kikwete ikulu

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Spika wa bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Al Mawaali ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete katika dhifa ya Kitaifa na Rais wa Sri Lanka

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na mgeni wake Rais Mahinda Rajapaksa wa Sri Lanka wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoandaa kwa heshima ya mgeni huyo ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA AMUWEKEA KAMBI MMAREKANI

Na Elizabeth JohnBONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka ‘SMG’ amesema atahakikisha anaingia kwaajili ya maandalizi ya pambano lake la kuwania ubingwa wa Dunia dhidi ya bondia Mmarekani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RECHO ANAAMINI

Na Elizabeth JohnMWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Rachel Haule ‘Recho’, ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Niamini’ ambayo imeanza kufanya vizuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HISPANIA YAING'OA ITALIA KWA PENATI 7-6, SASA KUIVAA BRAZIL FAINALI

Antonio Candreva akifunga penati yake kwa staili ya  'Panenka' ambayo kipa wa Hispania, Iker Casillas hakuweza kuokoa. (Habari kamili iko chini ya picha hizi).Xavi akimtungua Gianluigi Buffon...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'TUPO WANGAPI' YA SUMA MNAZARETI, TUNDA MAN YAANZA KUTESA

Na Elizabeth JohnWIMBO unaokwenda kwa jina la ‘Tupo Wangapi’ ulioimbwa na wakali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Suma Mnazareti na Tunda Man unafanya vizuri katika tasnia ya muziki huo kutokana na...

View Article

MDAU WA GEPF

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Familia ya Mandela yakosoa wanahabari

Ujumbe kwa Nelson MandelaTaarifa kutoka Ikulu ya Afrika Kusini zinasema kuwa hali ya kiafya ya rais mstaafu Nelson Mandela sio nzuri na kuwa imezorota katika saa 48 zilizopita.Baada ya kumtembelea...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live