Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KUBORESHA HUDUMA ZA RELI, BARABARA,...

 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa wawekezaji  wa sekta binafsi (CEO Round Table Dinner) uliofanyika juzi usiku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA INDONESIA NCHINI TANZANIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Indonesia nchin Tanzania  Zakaria Anshar,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOETHE INSTITUT-TANZANIA INVITE YOU TO AN OPEN STAGE NIGHT

On our OPEN STAGE NIGHT we invite you to perform. Whatever your talents might be, everyone is welcome to show them on stage. Please register now by sending us an e-mail or call us.E-mail:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD's MISS TANZANIA YAISHUKURU JAMII

MKURUGENZI wa  Kampuni ya Lino International Agency na Mratibu wa shindano la Urembo la Redds Miss Tanzania 2013,  Hashim Lundenga  akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSONDO, CHE MUNDUGWAO, KING NAJUTO KUPAMBA MISS UTALII 2013 MKWAKWANI JUMAPILI

Warembo wa Miss Utalii Tanzania 2013 wakiwa katika Picha ya PamojaTANGA, TanzaniaBaada ya shamrashamra na mapokezi makubwa ya Miss Utalii Tanzania walipoingia jijini Tanga na kupokelewa na umati mkubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI ANAYESHUHULIKIA MASHIRIKIANO YA NCHI MBAILI WA DENMARK

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi anayeshuhulikia mashirikiano  ya nchi mbili wa Denmark Charlotte  Slente,alipofikaIkulu Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM NI WAUMINI WA FALSAFA YA 'MKUKI KWA NGURUWE'

Na Bryceson MathiasMARA kadhaa tumesikia,Chama cha Mapinduzi (CCM), kimekuwa na tabia ya kuwakumbatiia viongozi wake wanaobainika na maovu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kutosoma mapato na matumuzi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIM ATAJA 26 STARS WA KUIVAA MOROCCO

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen leo (Mei 16 mwaka huu) ametaja kikosi cha wachezaji 26 watakaoingia kambini kujiwinda kwa mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Morocco itakayochezwa Juni 8...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND, NEY WA MITEGO KUZINDUA VIDEO 'MAPENZI GANI' DAR LIVE JUMAMOSI

DAR ES SALAAM, Tanzania"Uzinduzi huu pia utatumika kusaka muziki upi na msanii yupi mkali anayekubalika kupitia staili zao za Hip Hop na Bongo Fleva, ambapo kupitia uzinduzi wa video ya Mapenzi Gani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULIANA KANYOMOZI AKANA NDOA NA JAJI WA TUSKER PROJECT FAME

Majaji wa shindano la Tusker Project Fame, Ian Mbugua kushoto, Juliana Kanyomonzi, na Hermes Bariki wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kinyang'anyiro hichoKAMPALA, Uganda“Sijawahi kuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEKHE ANG'AKA: ASEMA CHADEMA SIO CHAMA CHA WAKRISTO

Na Bryceson Mathias, DodomaSHEKHE wa Msikiti wa Nunge, mjini hapa, Shabani Kitilla, amewajia juu watawala na Viongozi wanaopotosha ukweli, akipinga kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) si...

View Article

RIPOTI YA MATUMIZI YA RASILIMALI YAZINDULIWA

Na Mwandishi WetuSERIKALI imetakiwa kujenga utawala bora katika kusimamia rasilimali kama vile madini, mafuta na gesi asilia kwa lengo la kuwanufaisha wananchi.Akizungumza na wandishi wa habari katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRADO TX FOR SALE

PRADO TX IN GOOD CONDITIONModel: 1997 Millage: 115,000kmCc  3000Engine 1KZ Diesel,Color: Green 2 toneTransmission:  AT5doors, 8passengers, AC, PS, PW, AL, ABS.Price: Tsh 19m/- NegotiableTEL:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAZIA LIGI KUU YA VODACOM KUFUNGWA JUMAMOSI

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu (2012/2013) inafikia tamati kesho (Mei 18 mwaka huu) kwa timu zote 14 kupambana katika viwanja saba tofauti.Mechi zote zitachezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII PAMOJA NA SSRA YATOA MISAADA KATIKA WODI YA WAZAZI...

Mkuu wa Kitengo cha uhusiano bi Sara Msika akikabidhi msaada wa shuka 100 na magodoro 30 katika wodi ya wazazi ya chikandeMkuu wa kitengo cha uhusiano cha SSRA Bi Sara Msika akiwa amembeba mmoja kati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJITOKEZA WIKI YA HIFADHI YA JAMII

 Afisa Masoko na Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Bima ya Afya, Grace Michael akimpa maelekezo juu ya shughuli za mfuko Mwenyekiti wa Bodi ya SSRA, Jayne Nyimbo Mmoja kati ya watu walihudhuria maonesho hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza Sherehe za maadhimisho ya mifuko ya jamii

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wadau na viongozi wa mifuko ya hifadhi ya jamii wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Mifuko hifadhi ya ya jamii iliyofanyika mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE WA BODI YA UDHAMINI SSRA WALIPOTEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO...

Mjumbe wa bodi ya Wadhamini SSRA, Kabeho Solo akisaini kitabu cha wageni wakati wajumbe wa bodi hiyo walipotembelea banda la NSSF. Kulia ni Ofisa Mwandamizi Miradi na Uwekezaji, Gerlad Sondo na Ofisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Thamani ya Fedha Kenya 'Yawaachisha' Shule Wanafunzi Rombo

 Hizi ni baadhi ya njia zisizo rasmi kwenda nchini Kenya zilizopo eneo la Rongai, Rombo Sehemu ya Soko la Tarakea, Rombo. Soko hili ni miongoni mwa masoko yaliopo jirani na mpakani wa Kenya na Tanzania...

View Article

WANAKIJIJI WAMKATAA MWENYEKITI WAO

Na Bryceson Mathias, MorogoroWananchi wa Kijiji cha Makamba-Kidatu Mkoani Morogoro wamemkataa Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji chao, Ndenda Tidi na Halmashauri yake, ambapo tangu 10.3.2012 waligomea...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>