Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone:255-22-2114512, 2116898E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com              press@ikulu.go.tz              Fax: 255-22-2113425PRESIDENT’S OFFICE,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA MBENDEMBENDE KWA YANGA YACHAPWA 2-0

Beki wa Simba, Musa Mudde (kushoto) akichuana na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI NA KASHFA RUSHWA

Na Mwandishi WetuBAADHI ya polisi wa Kituo kidogo cha Sitakishari Ukonga wailayani Ilala wanadaiwa kuacha kumfungulia jalada la kesi mwizi wa viroba 71vya unga wa sembe, kumjeruhi muuzaji wa duka la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TABOA KUKUTANA NA MKURUGENZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO

Na Mwandishi WetuCHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA), kinatarajia kukutana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam pamoja na Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), leo ili...

View Article

WAISLAM NA WAKRISTO WATAKIWA KUSHIRIKIANA

Na Shehe SemtawaWAUMINI wa dini za Kiislam na Kikristo nchini wametakiwa kushirikiana katika kazi mbalimbali zitakazosaidia kuinua pato la mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.  Kauli hiyo ilitolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waraka kuhusu muswada wa Baraza la Vijana la Taifa wa Mwaka 2013

Mtakumbuka kwamba mwezi Januari 2013 nilitoa taarifa kwa umma ya kueleza kuwa niliwasilisha kwa Katibu wa Bunge Muswada Binafsi wa Sheria ya Baraza la Vijana la Taifa na kuomba hatua za ziada toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTEMBELEA BANDA LA NSSF

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkrugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau wakati alipowasili kwenye maonesho ya Wiki ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AFURAHISHWA NA KUJIUNGA NA MFUKO WA AKIBA WA GEPF KATIKA...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijaza fomu ya uanachama na kujiunga rasmi katika mpango wa hiari wa kujiwekea akiba katika mfuko wa GEPF akishuhudiwa na Meneja wa Masoko wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nzera Redds Miss Kibaha 2013

 Na Mwandishi WetuALIYEKUWA mshiriki namba 6 katika shindano la kumsaka Redds Miss Kibaha 2013 Nzera  Kitano ameibuka kua Redds Miss Kibaha 2013 katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'Serikali ya Kikwete bado inateswa na Udini'

Askofu Dk. Jacob Erasto Chimeledya (56) akisimikwa kuwa askofu wa Kanisa la Anglikani.Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimpongeza Askofu Mpya wa Kanisa la Anglikani Askofu Dk....

View Article

Viongozi wasing’ang’ani Madaraka

Na Bryceson Mathias KATIKA Milo na Ustawi wa Mtu, zipo aina tatu za kutosheka, Kushiba, Kuvimbiwa na Kukinai. Na ndani ya Kutosheka, kuna Kulewa Shibe, Kuvimbiwa na Kukinai, ambako kwa Ujumla wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWA FC YAWACHAPA FULL MABONDIA FC 2-1, WAKIWA NA MASHALI, MIYEYUSHO,...

 Kikosi cha Taswa Fc, TIMU ya Taswa Fc jana iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Full Mabondia, inayoundwa na mabondia mahiri wa Jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilikutana katika mchezo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOCHAFUA KINYWAJI CHA KIROBA WASHITAKIWA BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEE AMPONGEZA DOGO JANJA

Na Elizabeth JohnKIONGOZI wa Kundi la Tip Top Connection, lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Ahmed Ally ‘Madee’, amesema amevutiwa na kazi ya msanii nyota katika muziki wa kizazi kipya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPOKI AWACHAMBUA WASICHANA

Na Elizabeth JohnMCHEKESHAJI wa Kundi la Original Comedy ambaye pia ni  msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mujuni Sylivester ‘Mpoki’, anatarajia kuachia ngoma yake mpya hivi karibuni inayokwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMA LEE AJIPANGA UPYA

Na Elizabeth JohnMSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Ismail Seif  ‘Suma Lee’ amesema yupo katika hatua za mwisho za kuandaa kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIADHA WAJIPANGA KUCHAGUA TIMU YA TAIFA YA VIJANA

Na Elizabeth JohnMASHINDANO ya Wazi ya Mchezo wa Riadha, yanatarajia kuendelea kutimua vumbi Mei 25 mkoani Dodoma baada ya kufanyika wiki iliyopita mkoani Arusha na jijiji Dar es Salaam.Mashindano hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Peter Msigwa afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za uchochezi

 Mbunge wa Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), akishuka katika gari la Polisi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Mkoa leo akikabiliwa na tuhuma za uchochezi. Askari wa Kikosi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flaviana Matata kushiriki katika Misa ya kumbukumbu ya MV Bukoba

Na Mwandishi WetuMwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, Flaviana Matata leo atashiriki katika misa maalum ya kuwakumbuka watanzania waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba mwaka 1996.Misa hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YASHINDA KOMBE KATIKA MAONESHO YA KIBIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI TANGA

Mrs Eunice Chiume, Meneja Kiongozi wa Uhusiano na huduma kwa Wateja mara baada ya kukabidhiwa Kikombe cha Ushindi wa Kwanza katika kundi la Utoaji Huduma Kwa Jamii, Kutoka kwa Mhe. Dr. Abdallah Kigoda,...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>