Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

YANGA, AZAM KUVAANA NGAO YA JAMII J’MOSI

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Yanga na makamu bingwa Azam wanavaana keshokutwa (Jumamosi) kwenye mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kuashiria uzinduzi wa msimu mpya wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WORKSHOP FOR CYBER DEFENCE EAST AFRICA 2013

 1: Critical Security Controls trainingCritical Security Controlscompiled by a consortium of more than 100 contributorsUS government agencies, global commercial forensics experts and penetration...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKILI WA PONDA ANENA-PONDA YUPO GEREZA LA SEGEREA

Wakili wa Sheikh PondaDAR ES SALAAM, TanzaniaWakili wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda (54) ambaye kwa sasa anakabiliwa na kesi mpya ya kufanya uchochezi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAMILIA YALAANI KUTOLEWA KWA SHEIKH PONDA HOSPITALI

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda (wa pili kulia), ambaye kwa sasa anakabiliwa na tuhuma za uchochezi,  akitolewa katika taasisi ya mifupa MOI, kuelekea katika gereza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU

FAMILIA ya BRIGEDIA GENERAL, JANUARY NYAMBIBO hatutaacha kukukumbuka kwa sala na maombi wakati wote baba yetu mpendwa uliyetutoka ghafla Agosti 15, 2008 na kuzikwa Agosti 18 katika Makaburi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WITO WA WANANCHI KWA BUNGE NA SERIKALI KUHUSU TOZO/ KODI YA LAINI YA SIMU

Hivi karibuni bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipitisha muswada wa sheria ya fedha iliyosainiwa na rais Jakaya Kikwete na kuanza kutumika kama sheria kuanzia tarehe 01 August 2013. Sheria hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA BEAUTY PAGEANT USA KUFANYIKA DECEMBER WASHINGTON DC

  ANY INFOS FOR NOW CALL 202-830-8904

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWAHILI RADIO KUANZA KURUSHA MATANGAZO HEWANI HIVI KARIBUNI KUTOKEA JIJINI...

Mkurugkenzi wa Swahili Radio Bwana Dickson Mkama (DMK) akiwa hewani wakati  wa majaribioMkurugenzi wa Swahili Radio Bwana Alex Kassuwi (King) akiwa hewani akifanya majaribioBwana DMK akiendelea na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Feza Kessy aanika ya Big Brother Africa

 Feza akihojiwa na IK siku alipotolewa BBAFeza Kessy     Na Andrew Chale“UTAMADUNI wa Kitanzania umenisaidia kuiwakilisha vyema nchi yangu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’ na kujifunza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RT yawaita wadhamini mashindano ya taifa

Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka, akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani),  juu masuala mbalimbali yanayohusiana na maendeleo ya mchezo huo, kwenye ukumbi wa Baraza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAWANOA WAFANYAKAZI WA SEKTA ISIYO RASMI DAR

 Ofisa Uendeshaji Mwandamizi wa Sekta Isiyo Rasmi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Salim Khalfan akifafanua jambo kuhusu huduma wanazotoa wakati wa uzinduzi wa Ushirikiano wa Kikazi kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAMBANO LA YANGA NA AZAM KATIKA PICHA

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Canavaro’ akipokea ngao ya Jamii kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick wakati wa mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam...

View Article

Mchungaji aliyevuliwa uongozi na Chadema ni wa Kondoo au Mbuzi?

Na Bryceson Mathias YESU aliwaambia Wanafunzi na Wafuasi wa njia hii ni hiki. “Amin, amin, nawaambieni, Yeye asiyeingia mlangoni katika zizi la kondoo, lakini akwea penginepo, huyo ni mwivi naye ni...

View Article


NSSF YAWANOA WAFANYAKAZI WA SEKTA ISIYO RASMI DAR

View Article

RAIS KIKWETE ALIVYOPOKEWA KWA SHANGWE NCHINI MALAWI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maazimio ya Kamati za Bunge -Wabunge: Serikali itumie risiti za elektroniki

Mh. Zitto KabweMajor  Highlights1.) Kutokana na kutokuwepo na taarifa sahihi kuhusu deni la Taifa kuna umuhimu wa kukutanisha wadau wakuu wanaohusika hususani BOT, HAZINA, Kamati za Bunge na CAG ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

25 WACHUKUA FOMU UCHAGUZI TFF

Wanamichezo 25 wamechukua fomu kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaotarajiwa kufanyika Oktoba 27 mwaka huu.Fomu hizo zilianza kutolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA NA MIKUTANO YA MABARAZA HURU YA KATIBA MPYA

 Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwa wamevalia nguo za kimapambano wakati wakilinda mkutano wa Mabaraza Huru ya Katiba Mpya, uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ampongeza Dkt.Taxi kwa kuchaguliwa katibu Mtendaji SADC

 Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza katibu Mtendaji mpya wa SADC Dk.Stergomena Tax wakati wa kikao cha 33 cha wakuu wa nchi za SADC kilichofanyika jijini Lllongwe Malawi leo kikao hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLABU ZA EPL, FDL DAR ES SALAAM ZAPIGWA MSASA

 Mgeni Rasmi wa Semina Elekezi ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam, Mussa Azzan Zungu, akifungua semina hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa na kushirikisha klabu nne Ligi Kuu na saba za Ligi...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>