STAMINA KUTOKA NA DARASA
Na Elizabeth JohnMSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Boniventure Kabobo ‘Stamina’ anatarajiwa kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Mwambie mwinzio’ hivi karibuni.Akizungumza jijini Dar...
View ArticleRAIS KIKWETE AKIWA WILAYANI KARAGWE
Rais Kikwete akihutubia umati Ngara.Rais Kikwete akisalimia wananchi Rulenge.Wananchi wakimshangilia Rais Kikwete aliposimama kwa muda kuwasslimia wilayani Karagwe akielekea Rusumo kuzindua kivuko cha...
View ArticleMANENO MBEGU NA QUEEN SENDIGA WAMEREMETA
Bwana Harusi Maneno Mbegu akivishwa pete na mwandani wake, Queen Sendiga walipokuwa wanafunga ndoa hivi karibuni katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam. Maneno...
View ArticleKIBAKA APATA MKONG'OTO KUTOKA KWA WANANCHI WENYE HASIRA
Akisulubiwa kwa bakora na mmoja wa watu wenye hasira.Akisulubiwa kwa bakora na mmoja wa wananchi hao wenye hasira.Mtuhumiwa wa wizi akiomba kusamehewa wakati mtu mwenye hasira akijiandaa kumtupia...
View ArticleMhubiri Mkongo aonya watanzania wasidanganywe!
Mhubiri Mahano Jean toka Kongo akifundisha. Mhubiri Mahano Jean wa Kongo akisikilizwa kwa makini. Na Bryceson Mathias, DodomaMHUBIRI wa Kimataifa wa Kongo, Mahano Jean, amewaasa na kuwaonya watanzania...
View ArticleRAIS KIKWETE ATAWAZWA OMUKAMA (CHIFU) WA MISSENYI, AHITIMISHA ZIARA YA KAGERA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelefu ya wananchi wa mkoa wa Kagera waliofurika katika uwanja wa michezo wa Kaitaba kumsikiliza siku ya mwisho ya ziara yake ya siku sita mkoani humo. PICHA NA...
View ArticleWANACHAMA WA MFUKO WA MAENDELEO YA MTANDAO WA WANAMBWEWE WAISHIO DAR ES...
MBUNGE wa Chalinze, wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani, Saidi Mwanamdogo, akizungumza na wanachama wa Mfuko wa Maendeleo ya Wanambwewe waishio Dar es Salaam (MNDF), leo katika ukumbi wa Shule ya Msingi...
View ArticleMTIHANI WA UWAKALA WA WACHEZAJI, MECHI SEPT 26
Mtihani wa uwakala wa wachezaji (players agent) na uwakala wa mechi (match agent) wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utafanyika Alhamisi ya Septemba 26 mwaka huu saa 4 kamili asubuhi...
View ArticleDk. Slaa, Dk. Kikwete; Nani atakayetuvingirishia jiwe la Rushwa na Ufisadi?
Na Bryceson Mathias BAADA ya Kifo cha Muasisi na Mpigania wa Uhuru wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ilivyokuwa wakati wa Kifo cha Yesu Kristo, yaliyotokea haya! “Hata sabato...
View ArticleUJUMBE WA BENKI YA CRDB WAKUTANA NA RAIS Dk.SHEIN
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benkiya CRDB Dk.Charles Kimei, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa naujumbe wake...
View ArticleWADAU WA SOKA SONGEA KUJADILI UREJESHWAJI WA MAJIMAJI LIGI KUU TANZANIA BARA
Klabu kuendeshwa kikampuni na hisa kuuzwaKampuni ya Tanzania Mwandi ikishirikiana na Majimaji FC, imeandaa mkutano wa wadau wote wa soka mkoani Ruvuma chini ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Said...
View ArticleWADAU WA HOUSTON TX WAMPA HAFLA NZITO MPIGANAJI "THE CEO" DAVIS MOSHA KATIKA...
Upscale Spot ndani ya HoustonMpiganaji maarufu Davis Mosha akiteta jambo na wadau wa Houston, kulia ni Grace MmariJuliet, Christa wakifurahia jambo Juliet na Christa wakichagua kitengoFrank Mutafungwa...
View ArticleSIMBA YATOKA SARE NA POLISI KOMBAINI
Mshambuliaji wa Simba, Betram Mombeki akimtoka mchezaji wa Polisi Kombaini, Magige Machango katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa...
View ArticleMakamu wa Rais Dk Bilal ahudhuria kuapishwa Rais Mpya wa Iran
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislam ya IRAN alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa...
View ArticleMAKUNDI MBALI MBALI MBALI YA VIJANA MKOA WA MWANZA WASHIRIKI MJADALA WA...
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitoa ufafanuzi wa CCM juu ya Rasimu ya Katiba mpya katika mkutano uliofanyika Mwanza leo na kuwakutanisha vijana wa makundi mbali mbali.Mjumbe wa Kamati...
View ArticleTSN, TCRA, AICC, TTCL, YARA WASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA WAKULIMA NANE...
Baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wakiwa katika picha ya pamoja katika banda lao lililopo ndani ya Viwanja vya Nzuguni Mjini Dodoma yanapofanyika Maonesho ya Kitaifa ya...
View ArticleRAIS KIWETE AFUTURISHA WASANII WA BONGO FLEVA IKULU
Rais Kikwete akiwa akiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa Filamu na Bongofleva, Hemed Suleiman. Rais Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,TV,...
View Article