Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

MTAANI KUNANI - OLIVER MTUKUZI ALITEKA JIJI LA NEW YORK

Video na Joshua MmaliOliver Mtukudzi alitoa burudani bure kwa wakazi wa New York katika eneo la kupumzika  Free Park, maelfu ya wamarekani walifurika katika show yake. Hii inafundisha nini wasanii wa...

View Article


Tumekamuliwaaa! Sasa tunatoka damu!

Na Bryceson MathiasNG’OMBE ni Mfugo, lakini kwa walio wengi unatafsiriwa kama Kiwanda chenye mazao mengi yanayozalishwa kama bidhaa adimu.Mbali ya bidhaa nyingi zinazotolewa na ng’ombe, kubwa ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA SIKU YA MASHUJAA LEO KAMBI...

Katika maadhimisho hayo alikuwepo pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa Chande Othman na Jaji...

View Article

Rais Kikwete awaonya wanaotaka kuichezea Tanzania

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKIWA WILAYANI MULEBA

Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani KageraRais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC Bra Survey team in Uganda

The EAC Brand 2013 survey team embarked on a week-long mission to Uganda on how citizens perceive the regional integration activities, programme and how much they understand of the Community. The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA SH. MILIONI 28 KIJIJI CHA ISNURA, MBARALI, MKOANI MBEYA

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu kulia na Meneja kampuni ya bia (TBL) Nicolaus Kanyamala wakizindua kisima cha kijiji cha Isnura. (Picha na Mbeya Yetu)Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi azua taflani mkutano wa Chadema, kunusurika kipigo

Wananchi wakiondoka Uwanjwa wa Shule ya Msingi Kikombo baada ya Askari Sivanus kuzua tafrani iliyomnusuru kipigo kutokana na Hekima ya Diwani Ally Biringi nguo ya Bluu na Kofia huku Yona Kusaja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRINE CHEPTAI WA KENYA AANGUKA NA KUZIMIA BAADA YA KUMALIZA MBIO ZA MITA 3,000

Daktari wa kwanza kabisa kumkimbilia Irine Cheptai akihaha kuuzindua moyo wake baada ya kuzimia, alipokuwa akimaliza mbio za mita 3,000 kwenye Uwanja wa Olimpiki jijini London.Jopo la Madaktari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATOLEWA MICHUANO YA CHAN

Tanzania (Taifa Stars) imeshindwa kufuzu Fainali za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) kwa mara ya pili mfululizo baada ya leo (Julai 27 mwaka huu) kufungwa mabao 3-1 na Uganda Cranes, hivyo kutolewa...

View Article

CCM Kikombo yakanusha kutafuna fedha za Mnara wa Airtel

Na Bryceson Mathias, Kikombo, Dodoma vijijiniCHAMA cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Kikombo, Kata ya Kikombo, Manispaa ya Dodoma, kimekanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Chama cha Demokrasia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Two male passengers from Tanzania with heroin detained in Hong Kong

 Hong Kong Customs July 25 detected three drug trafficking cases, with seizures totally valued at $4.78 million, in the department's escalated anti-narcotics efforts to combat drugs.      Customs...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WASIRA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO-MAGU

Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Magu, Aileen Geofrey akimwonyesha kwa kuandika ubaoni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu Stephen Wasira kwamba anajua kusoma na kuandika, baada ya Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete; Umepokea Malalamiko ya Chadema!

Na Bryceson MathiasHIVI karibuni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilidai kamwe hakitakabidhi ushahidi kwa Jeshi la Polisi nchini kuhusu Askari aliyehusika na Bomu la Arusha hadi Rais Jakaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVIS MOSHA AHOJIWA NA VOA (VOICE OF AMERICA)

Edgar Davis Mosha mtoto wa mfanyabiashara tajiri na maarufu boss wa kampuni ya DELINA  Bwana Davis Mosha ahojiwa na VOA (Voice of America). Edgar na baba yake wametua kwa kishindo nchini Marekani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LINDI SOCCER ACADEMY WAVULIWA UBINGWA COPA COCA COLA MANISPAA YA LINDI

Kikosi cha Lindi Soccer Academy (LSA) kilichoshiriki michuano ya Copa Coca Cola 2013. Wa kwanza kushoto waliosimama, ni Ofisa Habari wa LSA, Salum Mkandemba, ambaye pia ni Mhariri wa Habari Mseto Blog....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOGO JANJA AJIPANGA 'KUSEREBUKA'

Na Elizabeth JohnKINDA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ anatarajiwa kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Serebuka’ hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BERRY BLACK AIBUKA NA 'ISHARA ZANGU'

Na Elizabeth JohnBAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Berry Black ameibuka upya na anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Ishara zangu’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'KIBUDU' CHA MSECHU CHAFANYA KWELI

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Peter Msechu, ameachia kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Kibudu’ ambacho kimeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AT 'ANAPENDA'

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Kitumbua’, mkali wa muziki wa mduara nchini, Ally Ramadhan 'AT' anatarajia kuachia kazi mpya inayokwenda kwa jina la ‘Anapenda’.Akizungumza jijini...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>