Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA HARAKATI ZA "IMETOSHA!" HENRY MDIMU APELEKA UJUMBE WAKE UWANJA WA...

Na Henry MdimuTangu asubuhi leo nilikuwa busy na awareness za uwanja wa Taifa katika mechi ya watani wa Jadi Yanga na Simba (picha ya pili). Ila jioni hii nilipoangalia simu yangu nikakuta watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI

Mkurugenzi wa Kampuni ya Angels Moment, Naima Malima akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi uliofanyika Mkuranga mkoani Pwani. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Abdallah...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA 'Tuma Pesa na...

 Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu akimkabidhi mfano wa ufunguo wa gari Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei ikiwa kwa ajili ya kumkabidhi rasmi mshindi wa gari aina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 MOROGORO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa kwa furaha alipowasili uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro Jumapili Machi 8, 2015 kuongoza kilele cha sherehe za Siku ya Wanawake Duniani  iliyoadhimishwa kitaifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA, YANGA ZAINGIZA MIL 436

Mashabi wa Soka waliohudhuria pambano la Simba na Yanga.xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxMechi  iliyowakutanisha Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa, imeingiza jumla ya sh. milioni 436,756,000...

View Article


TANZANIA KUIVAA MISRI IJUMAA BEACH SOCCER

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa majira ya saa 10 kamili jioni, mchezo utakofanyika katika klabu ya Escape 1...

View Article

TBN MEET AND GREET PARTY AT SERENA HOTEL

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon

NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon. Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro. Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF-...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-AMIS WALIVYOSHIRIKI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Wafanyakazi wa UTT-Amis wakiandamana kuelekea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. (Picha na Francis Dande) Mke wa Rais, Salma Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA ATAKA RIPOTI YA UCHUNGUZI TRL

Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta (katikati) akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, muda mfupi baada ya kukutana na watendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL). Kulia ni Naibu Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrembo Miss Tanzania aongoza wakazi wa dar katika zoezi la uchangiaji damu

Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania 2014, Doris Mollel akishiriki zoezi la uchangiaji damu katika ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Siku ya wanawake Duniani,iliyofanyika Buguruni Chama jijini Dar es Salaam...

View Article

KILUVYA, MBAO FC, MJI NJOMBE, MJI MKUU ZAPANDA FDL

Timu za Kiluvya United ya Pwani, Mbao FC ya jijini Mwanza, Mji Njombe kutoka mkoa mpya wa Njombe na Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma zimepanda Ligi Daraja la Kwanza (FDL) baada ya kuongoza katika misimamo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA PASAKA KUPAMBWA NA MWIMBAJI KUTOKA UINGEREZA

Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati akimtangaza mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Uingereza, Ifiyani Karechi atakayeshiriki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SD MABINGWA MASHINDANO YA NYAMA CHOMA

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Kanda ya Ziwa, Godwin Zacharia (katikati) akimkabidhi kikombe Mpishi Mkuu wa Bar ya SD Exective ya jijini Mwanza, Mussa Mashauri mara baada ya kuibuka mabingwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAMUHOJI DK. SLAA KWA SAA SITA KUHUSIANA NA TUHUMA ZA KUTAKA KUWEKEWA...

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa (kulia) akitoka Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam leo huku akiambatana na wanasheria wake, John Mallya (kushoto)...

View Article


WATAKAOJIUNGA NA KITUO CHA MICHEZO CHA NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY...

1. Walengwa ni Watoto waliozaliwa kuanzia tarehe 01-01-2001 hadi 31-12-2003 2. wawe na cheti halisi cha kuzaliwa na nakala yake 3. Picha mbili za pasipoti zenye rangi ya bluu nyuma 4. Watoto waambatane...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLADNESS MARTIN BRUSH PASIPOTI YAKO NA VITAMBULISHO VINGINE VIMEOKOTWA

BI. GLADNESS MARTIN BRUSH PASIPOTI YAKO NA VITU VYAKO VINGINE AMBAVYO ULIPOTEZA AMA KWA KUDONDOSHA AU KUPORWA POCHI YAKO BASI HATI YAKO HIYO NA VITU VINGINE MBALIMBALI VIMEOKOTWA NA VIPO KATIKA MIKONO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El-...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OKWI AIBEBA SIMBA, AITUNGUA MTIBWA SUGAR 1-0

Wachezaji wa Simba wakishangilia bao lililofungwa na mshambuliaji wa timu hiyo, Emmanuel Okwi (aliyepiga magoti) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP 2015 YAFUNGULIWA VIWANJA VYA SIGARA CHANG,OMBE...

 Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa mashindano ya NSSF Media Cup 2015, yaliyoanza kulindima katika viwanja vya Sigara, Chang'ombe Dar es Salaam leo...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live