WANAFUNZI WAJIFUNZA JINSI YA KUZALISHA MAZAO KISASA
Mtaalamu katika masuala ya Mbegu kutoka kampuni ya Seed.co inayojihusisha na kuzalisha begu za mahindi kutoka hapa nchini, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Nzunda kata ya Ntokela Wilayani...
View ArticleBayport yaguswa na mauaji ya albino Tanzania
Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaimar Kweigyir akizungumza na Ester Jonas, aliyelazwa Hospitali ya Bugando aliyejeruhiwa kufuatia tukio la uporwaji wa mtoto wake Yohana Bahati. Kulia kwa Mbunge ni Meneja...
View ArticleSIMBA YAITAFUNA TANZANIA PRISONS, YAIFUNGA 5-0
Beki wa Simba, Mohamed Hussein akiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Beki wa Tanzania...
View ArticleKAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA, WANANCHI WAMLILIA
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba (pichani) amefariki dunia katika Hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam.Mpaka kifo chake Kapteni John Komba alikuwa...
View ArticleMSIBA kWA KOMBA
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Kapteni John Komba aliyefariki jioni ya tarehe 28 februari...
View ArticleBuriani Kapteni John Komba
Lowasa akitita jambo na mtoto wa marehemu John Komba, Andrew Komba. (Picha na Francis Dande) Mbunge wa Sengerema William Ngeleja akiwa na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa wakiwa katika msiba wa...
View ArticleUHURU FM 95.7 FM WAFANYA BONGE LA PATI KUUKARIBISHA MWAKA MPYA
Wafanyakazi wa Uhuru FM, Redio ya wananchi wakiongozwa na Dj Fast Edie (kushoto) wakishow love wakati wa tafrija yao ya kuukaribisha mwaka mpya iliyofanyika Februari 27, 2015 katika ukumbi wa Tukuyu...
View ArticleLEO NI SIKU YA KUZALIWA YA MDAU OTHMAN MICHUZI
Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba...
View ArticleBENKI YA CRDB yatoa shukrani Kanisani
Mkurugenzi Mtendaji,wa Benki ya C RDB Dk. Charles Kimei akiambatana na family yake na wafanyakazi wa benki hiyo wamshukuru mungu, kwa kuwafanikisha katika majukumu yao,na kuwalinda katika kipindi chote...
View ArticleTFF YATUMA SALAM ZA PONGEZI FMF
Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini –TFF Bw. Jamal Malinzi ametuma salama za pongezi kwa Rais Boubacar Diara wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Mali (FMF) kwa kutwaa Ubingwa wa Afrika kwa...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KATIKA KUAGA MWILI WA KAPTENI...
Askari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Komba wakati wa kuaga mwili wake katika...
View ArticleUlrich Urio:Tamasha la Pasaka liwakumbuke wanyamapori
Na Mwandishi WetuMENEJA wa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Ulrich Urio ametoa wito kwa waandaaji wa Tamasha la Pasaka kuelekeza nguvu zao kupigia kelele wanyama wenye uhitaji maalum wanaomalizwa...
View ArticleOmog,Shikanda watimuliwa rasm Azam FC
Aliyekuwa Kocha wa Azam FC, Joseph Omog.NA KOKUJUNA KATAMAKOCHA Mkuu wa Klabu ya Azam FC Joseph Omog na Msaidizi wake Ibrahim Shikanda, wametimuliwa rasm kuinoa timu hiyo kutokana na kushindwa kutimiza...
View ArticleTamasha la Pasaka 2015 kuwabeba Free Media
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Khamis Pembe akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya tamasha hilo. Kushoto ni Mkurugenzi...
View ArticleUAMUZI KAMATI YA MASHINDANO
Timu za Ujenzi Rukwa na Volcano FC ya Morogoro zimeshushwa madaraja mawili hadi ligi za wilaya baada ya kushindwa kufika uwanjani kwenye mechi zao za Ligi Daraja la Pili (SDL).Uamuzi huo umefanya na...
View ArticlePAPAA KING MOLEL WA TRIPLE A LTD AIKABIDHI KATA YA KIA PIKIPIKI
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Triple A LTD na Mfanyabiashara wa Jijini Arusha, Papaa King Mollel (kulia) akimkabidhi pikipiki kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga...
View ArticleMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA...
Mkurugenzi wa manispaa ya Morogoro, Bi. Theresia Muhongo akisikiliza maelezo kutoka kwa Haji Sajilo ambaye ni Kiongozi msimamizi wa Mipango wa NGO,s ya MOYODEI wakati alipotembelea kwenye mabanda...
View Article