Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

WANAFUNZI WAJIFUNZA JINSI YA KUZALISHA MAZAO KISASA

$
0
0
Mtaalamu katika masuala ya Mbegu kutoka kampuni ya  Seed.co inayojihusisha na kuzalisha begu za mahindi kutoka hapa nchini, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Nzunda kata ya Ntokela Wilayani Rungwe jinsi ya kuzalisha mazao kwa njia ya kisasa na kitaalamu, nyuma yake ni shamba darasa la mahindi lilianadaliwa na wanafunzi hao yakiwa yamesha komaa. (Picha na Kenneth Ngelesi)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>