Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA SAFARI CARNIVAL 31/12/214

Na Andrew ChaleSAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya 'Old Is Gold taarab', Ndani ya ukumbi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA SHEIKH ALI MZEE KOMORIAN KARIAKOO, DAR ES SALAAM

 Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Sheikh Ali Mzee alipokwenda kuhani msiba huo jana Jumapili Desemba 29, 2014. Marehemu Sheikh Komorian alifariki juzi Jumamosi Desemba 28, 2014 na...

View Article


AZAM, MTIBWA, SIMBA, YANGA KUCHEZA MAPINDUZI

Timu za Azam, Mtibwa Sugar, Simba na Yanga zitashiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayofanyika kisiwani Zanzibar kuanzia Januari 1 hadi 13 mwakani.Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA MABALOZI WA URUSI, CANADA NA ALGERIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Djelloul Tabel, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIA WA SIERRA LEONE APIGWA RISASI AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMANI

Askari wa doria (kushoto) akisaidiana na askari wa magereza (kulia) kushusha mwili wa mtuhumiwa wa dawa za kulevya, Abdul Koroma (33) raia wa Sierra Leone aliyepiwa risasi wakati akijaribu kutoroka...

View Article


Coastal Union yaanza kuzipigia Hesabu pointi tatu za JKT Ruvu

Na Mwandishi Wetu, TangaTIMU ya Coastal Union imeanza maandalizi kabambe ya kuhakikisha inajipanga vema ili kuhakikisha timu hiyo inapata pointi tatu muhimu kwenye mechi yake ya Ligi kuu dhidi ya JKT...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ASHEREHEKEA MWAKA MPYA KIJIJINI MSOGA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na viongozi wa jamii yawamasai wanaoishi mkoa wa Pwani. Kiongozi mkuu wa jamii hiyo, Laiboni Tikwa Moreto (wa pili kushoto), Majaliwa Lihalei na Zuberi Tangono...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILZ CLUB BAADA YA KUFANYIWA UKARABATI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA TEMEKE NA VITONGOJI VYAKE WALIPOKEA VYEMA TAMASHA LA TUO8JANUARY,...

  Hii ilikuwa ni picha ya pamoja ya wasanii na mashabiki waliojitokeza kuunga mkono tamasha hilo la bure ambalo lina lengo la kuhamasisha vijana kushiriki katika maamuzi yenye mustakabali wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIRTHDAY YA MWANDISHI WA MICHEZO WA BINGWA, SHARIFA MMASI

Kutoka kushoto Deo Macha (ITV), Winnie Queen (Daily News), Sharifa Mmasi (Bingwa) na Fadhili Athumani (Mtanzania) katika hafla fupi ya kumpongeza Sharifa katika siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS ILALA 2014 AWAFARIJI WAGONJWA WALIOLAZWA KATIKA HOSPITALI YA AMANA NA...

Miss Ilala 2014,  Jihan Dimack (kushoto), akimkabidhi zawadi za mwaka mpya, Sophia Habibu kwa ajili ya matumizi ya mtoto wake. Hafla hiyo ilifanyika katika hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam juzi....

View Article

KILIMANJARO FC YAITAMBIA HAI CITY

MOSHI, KILIMANJAROKOCHA wa Klabu ya Kilimanjaro FC ya mjini Moshi, Ally Chandika, amesema atahahakikisha timu yake inavuna pointi muhimu kutoka kwa vinara wa ligi daraja la Tatu, hatua ya sita bora,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI YAZUIA MAANDAMANO YA VIJANA KUTOKA MWANZA WALIOTEMBEA KWA SIKU 37...

 Vijana waliotembea kwa miguu kwa siku 37 kutoka Mwanza hadi Dar es Salaam kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa Rais Jakaya Kikwete kuhusu vitendo vya rushwa pamoja na matumizi mabaya ya rasilimari za...

View Article


ZANZIBAR YAIMARISHA MTANDAO WA BARABARA ZA MIJINI NA VIJIJINI

Na Othman Khamis AmeMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema  kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefanikiwa vyema  katika uimarishaji wa  mtandao wa Bara bara Mjini na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KWETE AANZA ZIARA YA KIKAZI KATIKA VIJIJI 40 CHALINZE

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikagua vyumba vya madarasa vya Shule ya Msingi Kibindu, wilayani Bagamoyo, Pwani vilivyobmoka na kuezuliwa paa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE KUMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KESHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Kikwete anatarajiwa kumuapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpyaBwana George Mcheche Masaju (pichani) siku ya JumatatuUteuzi wa Bwana Masaju ulianza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msama ajing’atua kwa Rose Muhando

HATIMAYE Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama (pichani) ameibuka na kutamka yeye si Meneja wa malkia wa nyimbo za injili nchini, Rose Muhando akisema amekuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) PAMOJA NA FAMILIA...

  Kaimu Mmkurugenzi wa Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha akimkabidhi zawadi  Khamis Mussa baada ya kuibuka mshindi wa kukimbia   wakati wa siku ya familia ya wafanyakzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA MAULID ZAFANA ZANZIBAR NA DAR

Wanafunzi wa Madrasa Shathil ya Chang’ombe jijini Dar es Salaam wakisoma Qaswida wakati wa sherehe za Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.) zilizofanyika jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DORIS MOLLEL ACHANGIA VIFAA VYA KUPUMULIA KWENYE WODI YA WATOTO NJITI SINGIDA...

 Redds Miss Kanda ya Kati 2014/15, Doris Mollel akiongea Maneno machache wakati akikabidi mashine mbili za kupumulia kwa watoto waliozaliwa kabla ya muda wa kawaida zenye thamani ya Tsh millioni 1.2...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>