Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

RAIS KIKWETE KUMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KESHO

$
0
0




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Kikwete anatarajiwa kumuapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
Bwana George Mcheche Masaju (pichani) siku ya Jumatatu

Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles