![]() |
Bwana George Mcheche Masaju (pichani) siku ya Jumatatu
Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania