Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) PAMOJA NA FAMILIA ZAO WAUKARIBISHA MWAKA 2015

$
0
0
  Kaimu Mmkurugenzi wa Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha akimkabidhi zawadi  Khamis Mussa baada ya kuibuka mshindi wa kukimbia   wakati wa siku ya familia ya wafanyakzi wa mamlaka hiyo iliyofanyika  katika hoteli ya kunduchi beach jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa anga Tanzania TCAA wakishindana kukimbia  kwenye ufukwe wa bahari ya hindi kunduchi beach wakati wa siku ya family Day  iliyowahusisha wafanyakazi na familia zao.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa anga Tanzania TCAA wakishindana kukimbia  kwa kutumia magunia kwenye ufukwe wa bahari ya hindi kunduchi beach ikiwa ni sehemu ya shamlashamla ya family day.
Kaimu Mmkurugenzi wa Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha akishuhudia  wafanyakazi wa mamlaka hiyo wakishindana kuvuta kamba  wakati wa family Day iliyofanyika katika hoteli ya kunduchi beach jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania wakishindana kusakata kandanda wakati wa family day iliyofanyika Kunduchi Beach Dar es Salaam.
Watoto wa wafanyakazi wa Mamlka ya usafiri wa Anga Tanzania TCAA, wakishindana kukimbia wakati wa siku ya familia ya mamalaka hiyo iliyofanyika kwenye ufukwe wa Kunduch Beach Dar es Salaam.
  Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa anga Tanzania TCAA wakishindana kukimbia  kwenye ufukwe wa bahari ya hindi kunduchi beach ikiwa ni sehemu ya shamlashamla za family day iliyowahusisha wafanyakazi na familia zao.
Wafanyakazi wa  Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA) wakishindana kuvuta kamba  wakati wa family Day iliyofanyika katika hoteli ya kunduchi beach jijini Dar es Salaam.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>