Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTCL YAZINDUA PROMOSHENI MPYA

Meneja Bidhaa za Intanet wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Abdul Mombokaleo akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIBAIJUKA AFUNGUKA KUHUSU FEDHA ZA ESCROW

NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU YA JAMIIWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi  ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.Akizungumza  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-AMIS YATOA ELIMU YA MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA MADAKTARI

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Daudi Mbaga akitoa mada kuhusu Mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja UTT-AMIS  katika mkutano Mkuu wa 47 wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) uliofanyika katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU YA CHADEMA YAKUTANA LEO

Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwa katika Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Chadema jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA CHA SUKARI KAGERA CHAZALISHA ZAIDI

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakioneshwa mashine ya kumwagilia maji miwa ijulikanayo kwa kitaalamu kama Centre Pivot System. Na Saidi Mkabakuli,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA...

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.Digna Mbepera na Bela Kombo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR

 Vijana kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika semina ya jinsi ya kutafuta ajira kwenye taasisi mbalimbali wakati wa Maonesho ya Ajira kwa Vijana, kwenye Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE YA MSINGI MISUFINI YAFIKISHA MIAKA 4O,YAKABILIWA NA CHANGAMOTO...

   Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akikagua Mazingira Mbalimbali ya Shule ya Msingi Misufini. kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini...

View Article


MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YAWAHUKUMU WATU SITA KUNYONGWA HADI KUFA

Na Mwandishi WetuMAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewahukumu kunyongwa hadi kufa washitakiwa sita katika kesi ya mauji ya  polisi na mafanyakazi wa NMB tawi la Wami Morogoro na kuiba kiasi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VILABU VYA SIMBA NA YANGA: TUMEJIPANGA VIZURI MZUNGUKO WA PILI WA LIGI KUU

 Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya timu hiyo kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inayotarajiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS NA MKUU WA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA DKT. MOHAMMED...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimtunuku shahada ya Sayansi Uhandisi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. MAGHEMBE AZINDUA RIPOTI YA UTENDAJI WA MAMLAKA YA MAJI NA USAFI WA...

 WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua ripoti ya Utendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira za Mikoa na Miradi ya Kitaifa. Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Beach Band Bonanza kutikisa ufukweni Kesho

Rais wa FM Academia, Nyoshi El Saadat akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu tamasha la burudani liitwalo 'Beach Band Bonanza' litakalofanyika kesho Jumamosi katika Ufukwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WATOA MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI KUU

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maazimio ya Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya chama hicho...

View Article

MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Desemba 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, imezingatia upungufu uliopo katika utekelezaji wa matumizi ya tiketi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CATHERINE NGELESI APATA KIPAIMARA

Askofu wa Kanisa la KKKT, Dayosisi ya Kusini Kati Makete, Levis Sanga  (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na mtoto Catherine Ngelesi (katikati) mara baada kuongazo ibada ya ubarikio wa Sakramenti ya...

View Article

COASTAL UNION KUKIPIGA NA MOMBASA COMBAIN KESHO NCHINI KENYA

NA MWANDISHI WETU, TANGA TIMU ya Coastal Union “Wagosi wa Kaya”wanatarajia kusafiriki kuelekea nchini Kenya kesho kucheza mechi ya Kirafiki na Mombasa Combaini ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA HABARI WATOA MSAADA KWA WAFUNGWA WA KIKE WA GEREZA KUU LA...

Mkuu wa Gereza Kuu la Wanawake Kingolwira - Morogoro, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza, Loyce Ruhembe akipokea rasmi msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na Wanahabari hao kwa ajili ya Wafungwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAENDELEA KUTOA VIPIGO, YAICHAPA MWADUI YA SHINYANGA 3-1

 Fair Play.Timu za Simba na Mwadui Utd zikiingia uwanjani wakati wa mchezo wa kirafiki iliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-1. (Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAIMBAJI WATAKAOSHIRIKI TAMASHA LA KRISMAS MKOANI MBEYA WAELEZEA MAANDALIZI YAO

Mwimbaji wa muziki wa injili Tumaini Njole akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za kampuni ya Msama Promotion ambayo inaandaa Tamasha la Pasaka litakalofanyika sikukuu ya Krismas tarehe...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>