Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya timu hiyo kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Desemba 26.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro akifafanua jambo Dar es salaam leo kuhusu mabadiliko ya kocha katika klabu hiyo pamoja na maandalizi ya Ligi Kuu. (Picha zote na Francis Dande)