Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AMALIZA ZIARA YAKE JIMBO LA MTAMA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Bernard Membe Mbunge wa jimbo la Mtama na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya taifa wakati alipowasili katika Kiwalala Kituo cha Ufugaji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI ZA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel Yaendelea Kusaidia Sekta ya Elimu hapa Nchini, Shule ya Sekondari...

 Meneja wa Airtel Simiyu Bw. Ezekiel Nungwi akikabidhi msaada wa vitabu vya sayansi kwa Mkuu wa wilaya ya Bariadi Bw. Erasto SimaMkuu wa wilaya ya  Bariad Bw. Erasto Sima akisoma Hotuba katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss Tanzania in London to for Miss World

By  Ayoub  Mzee-LondonMISS   TANZANIA IN  LONDON  TO FOR  MISS  WORLDBy  Ayoub  Mzee-LondonToday    Miss Tanzania Happiness  Watimanywa, paid  a  courtesy  call to  the  Tanzania High  Commission  in...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bwawa la Mtera hatalini kutoweka

 Wakazi wa Migoli Mtera  wakiingia na punda katika bwawa la Mtera  ya matumizi nyumbani  baada ya  kina chake  kupungua  zaidi. (Picha na Francis Godwin Blog)  Wavuvi  wa samaki katika bwawa na Mtera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTERA SHOOTING MABINGWA LUKUVI CUP 2014 KATA YA MIGOLI YAIGAGADUA HOME BOYS...

Wachezaji  wa  timu ya Mtera wakiendelea  kuumiliki mpira katikafainali ya Lukuvi Cup kata  ya Migoli Mtera Mabingwa wa Lukuvi Cup timu ya Mtera  wakimiliki mpita Mchezaji wa  timu ya Home Boys akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKY MOTO YAWABAMBA WAKAZI WA JIJINI MWANZA NDANI YA JEMBE BEACH

Mkurugenzi Mtendaji wa Skylight Band Dkt. Sebastian Ndege a.k.a JembeniJembe akizungumza na wakazi wa Mwanza kuwakaribisha kwenye show ya SKYMOTO iliyofanyika kwenye hekalu la maraha la Jembe Beach...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU ANDREW CHALE KUTOA VITABU VYA MAISHA YAKE

Andrew Chale (kulia) akiteta jambo na 'Mwenyekiti' Maggid Mjengwa wa Mjengwa Blog...Ni vya 'Who Is Andrew Chale', 'Nimnukuu Nani?' na ''Mimi ni Historia',Na Mwandishi WetuMwandishi wa Habari nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU ASIA KINJENGA APATA DIGRII YA ELIMU YA JAMII SOSHIOLOJIA CHUO KIKUU CHA...

Asia Kinjenga kulia akiwa na nyuso ya furaha pamoja na mwenzie Felician Francis baada ya kumaliza digrii ya elimu ya jamii katika sosholojia wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REMEMBRANCE

THE LATE DONAT SAMIKE MASHIKU 1947-2013Baba, God saw you struggling and no cure in this world was there to make you stay, he then decided to call you that day of 20th November 2013. They were days,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZA MAREKANI ZENYE THAMANI YA SH. MILIONI 20

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.Dola feki za Marekani. Na Elizabeth Kilindi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAENDESHA BODABODA WALALAMA

WASAFIRISHAJI abiria kwa kutumia bajaji na bodaboda jijini Dar es Salaam, wamelaani kitendo cha serikali cha kuwakamata wanapoingia katika ya jiji kwa madai kuwa ni kinyume cha sheria.Wakizungumza...

View Article

KATIBA MBOVU CHANZO CHA MIGOGORO YA ARDHI

Na Mwandishi WetuMIGOGORO ya kupigania ardhi kati ya Wakulima na Wafugaji katika maeneo mbalimbali nchini inatokana na Katiba mbovu iliyopo sasa.Kauli hiyo ilitolewa na mmoja wa Wakazi wa Kiteto mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JENGO LAPOROMOKA ZANZIBAR

Wananchi na wapita njia wakishangaa jengo lililoanguka kwenye Mjimkongwe wa Zanzibar eneo la Shangani karibu na maskani ya "JAWS CORNER" jana asubuhi. Hakuna taarifa za vifo wala majeruhi kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswa yawaomboleza Karashani, Munyuku

Na Mwandishi WetuCHAMA cha Waaandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimepokea kwa masikitiko taarifa za vifo vya waandishi wawili wa habari za michezo na burudani nchini, Inocent Munyuku na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAALIM SEF AWATAKA MADEREVA KUFUATA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

 Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akimjuilia hali mzee Shihab Ahmed ambaye ni miongoni mwa majeruhi wa ajali ya gari iliyotokea eneo la Kitope, mkoa wa Kaskazini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukawa wacharuka kashfa ya Escrow

Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma kuhusu hujuma zinazodaiwa kufanywa na Serikali kupitia Bunge, kuzima kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEWUTA YATOA MWITO KAMPUNI YA BHART AIRTEL KUJIONDOA UBIA KATIKA KAMPUNI YA...

  Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (Tewuta), Junus Ndaro. (Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com) Katibu Mkuu wa Chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ASHIRIKI KILIMO KATIKA SHAMBA LA WANANCHI KIJIJI CHA MKOTOKUYANA...

Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Monduli Juu cha Wakulima wa Shayiri,  Barrick Kivuyo akizungumzia mafanikio ambayo wakulima wameweza kuyapata tangu walipoanza kuingia mikataba ya kulima zao hilo...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>