Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA KUWA HATUA WALIOVIUA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO NCHINI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisaidia kulima shamba kwa kutumia trekta katika shamba la Umoja Rika katika Kijiji cha Mkotokuyama, wakati wa ziara yake wilayani, Nachingwea, Lindi.ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkwaja FC mabingwa wapya Mwidau CUP 2014

Na Mwandishi Wetu, PanganiTimu ya soka ya Mkwaja FC imetwaa ubingwa wa kombe la Mwidau CUP mwaka 2014 baada ya kuifunga timu ya soka ya Kiman’ga kwa mabao 4-2 katika mtanange uliipigwa kwenye Uwanja wa...

View Article


KUTAMBULISHA OFISI ZA TAPSEA

VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAMWAGA VITABU VYA MILIONI 15 WILAYANI MAKETE -NJOMBE

 Kulia ni Meneja wa Kanda za juu kusini wa Airtel bw, Straton Mushi  akikabidhi  msaada wa vitabu kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Dokta BINILITHI MAHENGE utakaofaidisha jumla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YAKAGUA MADARAJA LUHEKEI MKOANI RUVUMA

 Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akizungumza na timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWANJA WA NDEGE WA MWANZA WAFANYIWA UKARABATI MAKUBWA

 Ndege ya Fastjet  ikijongea kwenye maegesho ya ndege ya kiwanja cha ndege cha Mwanza baada ya kutua. Urefushaji wa barabara ya kutua na kuruka ndege unaofanywa na BCEG ya China unaendelea vizuri ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ASHIRIKI KILIMO KATIKA SHAMBA LA WANANCHI KIJIJI CHA MKOTOKUYANA...

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Nachingwea Mh. Mathias Chikawe wakati alipowasili katika kijiji cha Nkotokuyana jimbo la Nachingwea katika mwendelezo wa...

View Article

MASHINDANO YA TAIFA YA U12 YASOGEZWA

Mashindano ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 12 yanayoshirikisha kombaini za mikoa yote ya Tanzania yatafanyika jijini Mwanza kuanzia Desemba 30 mwaka huu hadi Januari 5 mwakani. Awali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Exim yapanda miti na kutoa msaada wa chakula kituo cha wazee Moshi

Meneja wa Benki ya Exim wa Tawi Moshi mkoani Kilimanjaro, Bw. John Ngowi akipanda mti wakati wa zoezi la upandaji miti lililofanyika baada ya benki hiyo kutembelea kituo cha Wazee cha Njoro katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZOEZI LA UCHUKUAJI NA UREJESHAJI WA FOMU SERIKALI ZA MITAA LASHIKA KASI

Mgombea nafasi ya Mwenyekiti  Serikali ya Mtaa, Michael Mgungusi (Chadema), akichukua fomu ya kugombea nafasi hiyo kutoka kwa Ofisa Mtendaji wa mtaa wa Mikoroshini, Msasani, jijini Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa Bungeni mjini Dodoma leo wakati wabunge wakichangia kuunga mkono ripoti ya Escrow kuletwa bungeni kujadiliwa.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa ufafanuzi.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA MPYA WA DODOMA CHIKU GALAWA AFUNGUA WARSHA YA KUPINGA RUSHWA YA...

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Galawa akifafanua jambo wakati alipokuwa akifungua Semina ya siku moja ya kutafuta namna ya kukabiliana na Rashwa mbalimbali ikiwemo ya Ngono kati ya viongozi na watendaji...

View Article

“U-20 Coastal Union yapania kutetea Ubingwa wake Kombe la Uhai”

NA MWANDISHI WETU, TANGA TIMU ya Coastal Union ya Vijana U-20 imepania kuhakikisha inatetea taji lake wanalolishikilia la Michuano ya Kombe la Uhai kwa kufanya vizuri katika mashindano hayo ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YAENDELEA KULAMBA DUME KWA MASHABIKI WAKE JIJINI DAR NDANI YA...

Majembe ya Skylight Band yakiporomosha burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA PAN AFRICAN ENERGY YATOA MSAADA WA MIFUKO 1500 YA SARUJI KWA...

Meneja wa Uwajibikaji na Huduma za Jamii wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy, Andrew Kashangaki (kwanza kushoto) akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Peter Malekela (kulia)...

View Article

WAPIGWE TU

View Article


MWALIMU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INNOCENT...

Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Innocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU UVCCM AANZA ZIARA MKOA WA RUVUMA, ALAKIWA NA JOHN KOMBA

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>