Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Ukawa wacharuka kashfa ya Escrow

$
0
0
Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma kuhusu hujuma zinazodaiwa kufanywa na Serikali kupitia Bunge, kuzima kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh. bilioni 300, zilizohifadhiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow, kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), isijadiliwe bungeni. Kushoto ni Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) na mbunge wa Mkanyageni (CUF), Mohammed Habib Mnyaa. (Na Mpiga Picha Wetu)


Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>