Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

CHUNGUZEN AFYA YA MACHO-CHAMA CHA MADAKTARI

Na Mwandishi WetuCHAMA cha Madaktari Bingwa wa Macho nchini kimewataka Watanzania kujenga tabia ya kuchunguza afya ya macho ili kuepuka upofu usio walazima. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia fuvu la aliyekuwa Chifu wa Wahehe, Mkwawa alipotembelea Makumbusho ya shujaa huyo aliyepambana na wajerumani na kujiua kwa bunduki baada ya kuona yupo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tafrija ya Miaka 24 ya Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani yafana

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Ujerumaninchini Tanzania, Egon Kochanke (katikati) na mkewe Wendy Marshall Kochanke wakimkaribisha mfanyabiashara mashuhuli Sir Andy Chande katika tafrija ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUWAPELEKE WATOTO WETU KATIKA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA OKTOBA 18-24

SURUA na rubella ni magonjwa hatari yanayoenezwa haraka kwa njia ya hewa, kutoka kwa mtu mwenye vimelea vya ugonjwa huo kwenda kwa mwingine.Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa dalili za magonjwa haya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA -WILAYA YA MUFINDI

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo kwenye mkutano mkuu wa CCM jimbo la Mafinga Kaskazini.Baadhi Wajumbe waliohudhuria mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Mafinga Kaskazini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPB YAZIPIGA TAFU TASWA FC, TASWA QUEEN

 Meneja Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Noves Moses akikabidhi jezi za mpira wa miguu zenye thamani ya sh. 1.8 kwa Mwenyekiti wa TASWA SC Majuto Omary.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shindano la Mashujaa wa Kesho

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.  Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali. Vijana katika biashara ya uuzaji samaki. Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.   Na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA KINANA MAFINGA

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi wa Mafinga wakati akiwasili kwenye uwanja wa Mashujaa. Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana na Bi.Mwigavillo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFUNGUZI WA MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Mkoma, akizungumza katika mkutano huo. Meneja Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy, akizungumza kwenye hafla hiyo. Katibu Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Fedha yakutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia 'MCC'

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dk. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za...

View Article

NYOTA WA BENIN WATUA DAR

Kikosi cha wachezaji 18 na viongozi 11 wa timu ya Taifa ya Benin, kimetua jijini Dar es Salaam tayari kwa mechi ya Kalenda ya FIFA dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumapili (Oktoba 12 mwaka huu)...

View Article

WASANII MSIDANGANYIKE-BAVICHA

WASANII wametakiwa kutokubali kuingizwa mkenge kwa kudanganywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa Katiba inayopendekezwa inawatambua.Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa...

View Article


TAKUKURU YATAKA USHIRIKIANO KATIKA KUPAMBANA NA RUSHWA

TAASISI ya Kuzuia, Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema katika kumuenzi Mwalimu Nyerere dhidi ya rushwa, Watanzania wanatakiwa kutoa ushirikiano katika kuwataja baadhi ya watu wanaojihusisha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAANZA KUUZA VIWANJA VILIVYOPIMWA KILUVYA 'A' KISARAWE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MEGATRADE WATENGENEZAJI WA KVANT WANOGESHA TAMASHA LA WAKAZI WA...

 Msimamizi Mkuu wa Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Albet Kingu kushoto akimkabidhi zawadi ya chupa ya Kvant 750ml Ally Yanga wakati wa tamasha lililowakutanisha wakazi wa tabata shule mwishoni mwa wiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA MUFINDI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo, Oktoba 9, 2014 kwenye  Uwanja wa Mashujaa, mjini  Mufindi akiwa katika ziara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROSE NDAUKA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Na Mwandishi WetuMSANII mahiri wa filamu nchini, Rose Ndauka (pichani), mwanzoni mwa wiki alimliza mtangazaji Khadija Shaibu, maarufu kwa jina la Dida, wakati wa sherehe za kuazimishja siku ya kuzaliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa kundi namba 1 la nchi za Afrika- Benki ya Dunia

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile akifuatilia kwa makini mkutano wa  kundi  namba 1 la  nchi za Afrika- Benki ya Dunia ambao umefanyika leo hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja

Meneja  wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu (kushoto) akiwa na Meneja wa tawi la Meru, Loiyce Kapaliswa wakimkabidhi msaada Mwenyekiti wa Kituo cha kusaidia Wazee Arusha, Mzee Ngonyani  ikiwa ni sehemu ya...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>