Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

MAPOKEZI MAKUBWA YAMSUBIRI SAKAYA

Na Mwandishi WetuCHAMA Cha Wananchi (CUF), Mkoa wa Tabora kimepanga kufanya maandamano ya kumpokea Naibu Katibu Mkuu Mpya wa Chama hicho Magdalena Sakaya wakati atakapowasili kwa mara ya kwanza mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU, YAICHAPA 2-1

Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo.Jaja akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani. Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. SLAA AITAKA SERIKALI KUBADILISHA MFUMO WA ELIMU

Katibu Mkuu waChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akifafanua jambo katika sikukuu ya wahisani ya umoja wa wanafunzi wa kikatoliki (TYCS) iliyofanyika jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF FURSA SEMINA DODOMA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ

 Ikiwa ni muendelezo wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni Siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj, Fursa Semina ilishamiri mjini Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa...

View Article

WATANZANIA MSIWACHAGUE VIONGOZI MAFISADI-KASESELA

WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu, katika chaguzi zijazo.Kauli hiyo, ilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA VIONGOZI WA DINI

Na Mwandishi WetuBENKI ya CRDB, imetoa msaada wa vifaa vya michezo kwa timu ya Kamati ya Amani na ushirikiano ikiwa ni maandalizi ya mechi baina ya viongozi wa madhehebu ya dini.Mtanange wa viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKAGUA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA NA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Shaaban Mlacha na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Idris Kikula (tai nyekundu) alipofanya...

View Article

TAHLISO WATAKA MIKOPO KWA WOTE

JUMUIYA ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini (Tahliso), imeshangazwa na kauli ya Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Profesa Sylivia Temu, kwamba wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi haiwezi kutekeleza madai ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KUKABIDHIWA OKTOBA 08 UWANJA WA JAMHURI MKOANI DODOMA

  Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi akitoa ufafanuzi kuhusu makabidhiano ya Rasimu ya katiba yatakayofanywa kati ya viongozi wa Bunge maalumu la katiba watakao kabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF FURSA SEMINA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ MJINI DODOMA

Ikiwa ni muendelezo wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj tarehe 05/10/2014, Semina ya Fursa yashamiri mjini Dodoma na kuvutia umati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lisu ashambulia jukwaa kwa saa mbili Diamond

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira akikata utepe wakati wa uzinduzi wa album ya nyimbo za injili ya ‘Uko Hapa’ yenye nyimbo 18 ya mwimbaji,  John Lisu wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA APEWA HESHIMA YA CHIFU WA KIHEHE MKWAWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na  Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakiwa katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kalenga, Iringa Vijini, walipoanza ziara ya siku sita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WATEJA

Naibu Mkurugenzi Mtendaji waBenki ya CRDB anayeshughulika na Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyadhiyay (kulia) akizungumza na  wateja waliofika katika tawi la Holland House jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lisu ashambulia jukwaa kwa saa mbili Diamond

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira akikata utepe wakati wa uzinduzi wa album ya nyimbo za injili ya ‘Uko Hapa’ yenye nyimbo 18 ya mwimbaji,  John Lisu wakati wa...

View Article

KIINGILIO TAIFA STARS, BENIN 4,000/-

Kiingilio cha mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Benin (Squirrels) itakayochezwa Jumapili Oktoba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA KAWE AENDA MAHABUSU YA SEGEREA

 Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) ambaye pia ni mbunge wa Kawe, Halima Mdee akitoka katika Chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kulekea katika Gereza la...

View Article

MAPOKEZI MAKUBWA YAMSUBIRI SAKAYA

Na Mwandishi WetuCHAMA Cha Wananchi (CUF), Mkoa wa Tabora kimepanga kufanya maandamano ya kumpokea Naibu Katibu Mkuu Mpya wa Chama hicho Magdalena Sakaya wakati atakapowasili kwa mara ya kwanza mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO

 Meneja wa tamasha la Karibu Music Festival, Richard Lupia akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam hii leo juu ya maandalizi ya tamasha hilo.  Meneja wa tamasha la Karibu Music...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKAGUA MIRADI YA UJENZI YA NSSF

Rais Jakaya Kikwete akimsaikiliza Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli wakati alipotembelea daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Miradi ya NSSF, Mhandisi John Msemo,...

View Article

MFUMUKO WA BEI UMEPUNGUA KWA ASILIAMI 6.7-NBS

Na Mwandishi WetuOFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS),imesema mfumuko wa bei  katika kipindi cha Septemba mwaka huu umepungua kutoka asilimia 6.7 hadi 6.6 ikilinganishwa  na ilivyokuwa  mwezi...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live