Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA LATOA MASHINE 28 ZA KUFYATULIA MATOFALI KWA VIJANA MKOANI...

 Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani, Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani. Shirika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtwara wapewa Mafunzo ya Maafa

 Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa imetoa Mafunzo ya Dhana ya Maafa kwa wataalamu kutoka Halmashauri na Manispaa ya Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya kuandaa Mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA...

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mtoto wa miaka minane aliejitambulisha kwa jina la Brian ambaye alitoa burudani ya kupiga kinanda wakati wa wimbo wa Taifa na nyimbo nyinginezo katika hafla ya USIKU WA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA WASHUHUDIA UPIMAJI WAGONJWA WA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA...

 Washiriki wa Shindano la Redd's Miss Tanzania 2014, wakimsikiliza Afisa Mfawidhi, Nisalile Mwangoka aliyekuwa akiwapa maelezo juu ya upimaji wa wageni wanao ingia nchini kupitia viwanja vya ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATINGA KIHABA MJINI LEO, AKAGUA NA KUFUNGUA MIRADI YA MAENDELEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani. Katika...

View Article


WATANZANIA MSIWACHAGUE VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA

Na Mwandishi WetuASKOFU wa Kanisa la Hossana Life Mission Ephraim Mwansasu, amewataka Watanzania kutowachagua wanasiasa ambao wako tayari kumwaga damu ili mradi wapate madaraka katika uchaguzi mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COASTAL UNION YAIVIMBIA SIMBA, YATOKA SARE YA 2-2

Beki wa Simba, Mohamed Hussein (kulia) akichuana na Seleman Rajab. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.Emmanuel Okwi akiwania mpira na beki wa Coastal Union. Umati wa mashabiki waliofika uwanja wa Taifa....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFANDE SELE AWASIHI WASANII KUWA NA MOYO WA KUSAIDIANA

 Baadhi ya Wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha la Fiesta 2014 lenye kauli mbiu (sambaza upendo) wakiwasili mapema leo mchana nyumbani kwa Mama Mkwe wa Afande Sele,mtaa wa Amani mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAKABIDHI KADI ZA UANACHAMA KWA WANACHAMA WA HIARI KUTOKA TAASISI YA PFT

Hadi kufikia sasa PFT imefanikiwa kuunda jumla ya vikundi 150 vyenye wanachama 3,865 , wanawake wakiwa 3469 na wanaume 396, wanachama hao wamewekeza jumla ya sh. 1,443,806,510 kupitia mpango wa ununuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAMA AWAPIGA TAFU YATIMA DAR

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama (lushoto), akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula Katibu Mkuu wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Maunga Center cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS TANZANIA WATEMBELEA KIA NA HIFADHI YA ARUSHA

 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, wakiangalia fuvu la Kiboko lililohifadhiwa katika makumbusho ya Ngurudoto yaliyopo ndani ya hifadhi ya taifa ya Arusha. Warembo 30...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA

View Article


TANESCO NA MIRADI NA UMEME

Na Mwandishi WetuMKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme (Tanesco), Mhandisi, Felchesmi Mramba, amesema baada ya kukamilika miradi mingi iliyoanzishwa ya ufuaji umeme katika kila mkoa, tatizo la umeme...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDA MAN ASINDIKIZA SHOW YA VIPAJI WAREMBO MISS TANZANIA BABATI MKOANI MANYARA

 Warembo 15 kati ya 30 wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakisindikizwa na mkali wa Bongo Fleva kutoka Jijini Dar es Salaam, Tunda Man, wametoa burudani kali wakati wa shindano dogo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA MBEYA MALAWI

Waandishi wa habari kutoka mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Habari,Utalii na Utamaduni wa Malawi ,(wa pili kutoka kushoto walioketi),Kondwani Nankhomwa kwenye ofisi ya wizara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL YAZIDI KUNG'ARA AFRIKA MASHARIKI

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya kufua umeme ya Pan African Power Solution inayoimiliki kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imezidi kung’aa katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAMWAGA VITABU MKOANI MWANZA

Ofisa Elimu Sekondari Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza Juma Kasandiko (kulia)  akimkabithi vitabu  Mkuu wa Shule ya Sekondari Shibula James Chisanda vilivyotolewa na Airtel chini ya mpango wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM YACHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA CHOO MKOANI MBEYA

Kamanda wa Umoja wa Vijana UVCCM kata ya Chimala, Francis Mtega akiwahutubia wafuasi wa chama cha Mapinduzi wakati wa kuweka jiwe la msindi katika shina na wakeketwa wa chama hicho karibu na kilabu cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAWAKOMBOA VIJANA MKOANI PWANI

Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani.Katibu Mkuu...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>