Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KINANA CHALINZE

 Polisi na Kijana Hamis Gabriel (kushoto)  wakimsaidia Mama mwenye ulemavu Halima Salehe, aliyefika kwa nia ya kumuona Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kwenye uzinduzi wa soko jipya la kisasa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIKIBA AFUNIKA BLOG YA MKITO.COM

NA ELIZABETH JOHNNYIMBO mbili za nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ally Kiba zimefanikiwa kuongoza kama nyimbo zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya Mkito.com. Mkurugenzi wa Mkito Sune...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRADI WA NYUMBA WA DEGE ECO- VILLAGE WAANZA, WANANCHI WACHANGAMKIA FURSA

Mradi wa nyumba unaosimamiwa na kampuni ya Hifadhi inayoitwa Dege Eco-Village umeshiriki maonyesho ya nyumba yaliyofanyika jijini Dar es Salaam inategemea umeanza hivi karibuni.Akiongea na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'USIKU WA NANI KAMA MAMA' WAPIGA HODI MIKOANI

NA ELIZABETH JOHNBAADA ya kutikisa jiji la Dar es Salaam na shoo yake ya ‘Usiku wa Nani Kama Mama’, msanii wa muziki wa dansi, Christian Bella anatarajia kuanza ziara yake mikoani ili kuwafikishia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania  Mark Childress alipofika Ikulu Mjini Zanzibar  leo. (Picha na Ramadhan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi mtendaji Benki ya NBC kuonana na Rais DK.Shein

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC Ms Mzimga Melu alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAMSA FORD SASA KUCHEZA FILAMU ZA KIUHALISIA

NA ELIZABETH JOHNMWANADADA anayetamba katika tasnia ya filamu nchini, Shamsa Ford, amesema ameamua kuanza kufanya filamu zinazogusa maisha ya watu ili kuleta maana kwa wale watazamaji na siyo stori za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMBULO: SIO LAZIMA KUFANYA 'COLLABO' NA MSANII WA KIMATAIFA

NA ELIZABETH JOHNMKALI wa nyimbo za hisia Ally Timbulo ‘Timbulo’ anasema haoni haja ya kufanya kazi na wasanii wa kimataifa japokuwa anajiongezea soko katika tasnia hiyo ya muziki.Akizungumza jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA CANADIAN SOLUTIONS TRADING&CLEANING Est WATAMBULISHA TILES AINA...

 Wakurugenzi wa Kampuni ya  Canadian Solution Trading&Cleaning Est  Kutoka kulia ni Nale Nat Alyalei(Director) akifuatiwa na Mustafa Said,Khadija Naif Alyafa(Chairwoman) na Wa mwisho kushoto Naji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI COASTAL UNION WALALAMA KUHUSU WAANDISHI

 Kikosi cha Coastal Unioni ya Tanga.Na Mwandishi WetuKOCHA Mkuu wa Coastal Union, Yusuph Chippo amewataka waandishi wa habari za michezo hapa nchini kuandika habari za michezo zilizosahihi. Hatua hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI AINA YA PAJERO iO INAUZWA

Gari inauzwa kwa bei nzuri tu na ipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia mawasiliano hapo chiniSPECIFICATIONS ZA GARI HIYO NIMAKER: MITSUBISHIMODEL: PAJERO IOYoM:      1998CC:       1983Odo:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AANZA ZIARA MKOA WA TANGA

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mkutano wa hadhara leo, Septemba 23, 2014, kwenye Uwanja wa Soko la zamani wilayani Handeni, mwanzoni kwa ziara yake ya siku 11 kukagua na kuhimiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KUTEMBELEA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA,G/MBOTO...

 Waandishi wakiwasili kituo cha kupoza umeme Mbagala wakipokewa na Meneja Miradi Mhandisi Emmanuel Marirabona,(wa tatu kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco, Mhandisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PECHE BOY KUMKABILI JUMA FUNDI KATIKA MASUMBWI

Bondia anayechipukia kwa kasi issa omar nampepeche au  “Peche boy” kama wengi wanavyomwita, ataoneshana umwamba na bondia mkongwe mwenye rekodi nzuri ya kuwapiga kina nasibu ramadhan,majia na kupoteza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUWALINDA TEMBO

Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikula akikambidhi, Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutetedarubini 20 pamoja na vifaa makini vya utambuzi wa mahali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA WAKAGUZI WA HESABU ZA NDANI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua Kongamano la mwaka la siku tatu la Wakaguzi wa Hesabu za Ndani, linaloendelea kwenye ukumbi...

View Article


SERIKALI YAWATAKA WADADISI WA UTAFITI KUZINGATIA WELEDI

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imewataka wasimamizi na wadadisi wa Utafiti wa Tathmini ya Utoaji wa huduma za Afya nchini mwaka 2014/15 kuzingatia weledi katika utekelezaji wa majukumu yao na kuepuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Press Release

  TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)                                     Etihad Airways in Dar by December*Reveals Network Growth StrategyThe Abu Dhabi, United Arab Emirates (UAE) based airline, Etihad...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO YA DK. Mwaka SPORTS EXTRA NDONDO CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA

Viongozi na wawakilishi wa timu shiriki za Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup wakizionesha jezi watakazozitumia katika michano hiy, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi keshokutwa Ijumaa kwenye Uwanja wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>