Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article


MAHAKAMA YA WAZI YA KINANA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amekuja na aina mpya ya kuwakutanisha wananchi na viongozi wao  kwenye mikutano yake ambapo amekuwa akitoa nafasi kwa wananchi kusema kero zao mbele ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA WA TBL WAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOWEZESHWA NA ACE AFRICA CHINI...

 Mwenyekiti wa Kikundi cha Tumaini Saccos, akiowanesha namna sanduku maalumu la kutunzia taarifa za kikundi chao linavyolindwa, wakati maofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania walipokwenda hivi karibuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 7 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN

Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)   Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika saba sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MAFIA, ASAFIRI KWA BOTI PAMOJA NA WANANCHI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda kwenye boto katika Bandari ya Mafia kwenda Bandari ya Nyamisati, wilayani Rufiji baada kufanya ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CHADEMA AHOJIWA POLISI KWA SAA TANO

Baadhi ya wapenzi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakishangilia baada ya gari lililokuwa limembeba Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, alipowasili leo Makao Makuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM DAR WATEMBELEA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI LINALOJENGWA NA NSSF

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (wa tatu kushoto), wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEDDING CEREMONY OF RENATUS MALULU AND IMERESIANA CHARLES

Bwana harusi Renatus Malulu akimvisha pete ya ndoa mkewe Imeresiana Charles wakati wa ibada ya ndoa yao iliyofanyika katika kanisa katoliki la Mtakatifu Mashahidi wa Uganda la Magomeni jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY FATHER KIDEVU!!

LEO ni siku ya kuzaliwa ya mpiganaji Mroki Mroki 'Father Kidevu' ambapo leo anaadhimisha miaka kadhaa hapa duniani. Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndie ajauae sababu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILEMBE INSURANCE KUNOGESHA TAMASHA LA KWANZA LA MAGARI LA ‘AUTOMOBILE...

Mmiliki wa Jossekazi Auto garage ambao ndiyo waandaaji wa tamasha akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamasha la kwanza la Magari la aina yake, linalojulikana kwa jina la Automobile Clinic,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya...

Asasi Nne zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini ForumCC, CAN, YouthCAN na Oxfam Tanzania zimetoa tamko la pamoja kuhusiana na Mkutano wa Umoja wa...

View Article

Mwenyekiti: CHADEMA haitaangamizwa na Watu Waovu

Na Bryceson Mathias, MorogoroBAADA ya kukamilishwa kwa Chaguzi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) toka Ngazi ya Msingi hadi Taifa, mbali ya kuupongeza Ucgaguzi huo, Mwenyekiti wa Chadema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA KINANA KUTOKA NYAMISATI MPAKA MAFIA KWA BOTI YA KIZAMANI

 Ilikiwa ni safari ngumu lakini yenye mafunzo mengi nikiwa nimepanda kwenye boti ya Doria wakati wa msafara wa Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na msafara wake tukitokea Nyamisati kuelekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI ZA TANZANIA NA MALAWI ZASEMA HAZINA TOFAUTI JUU YA MPAKA WA ZIWA NYASA

Balozi wa Tanzania Nchini Malawi Mh. Patrick Tsere Akizungumza na waandishi wa Habari kutoka Mbeya walipotembelea Ofisi za ubalozi Nchini Malawi.Baadhi ya Waandishi wakimsikiliza Balozi  Baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA UTAMBUZI WA UJUZI ULIOPATIKANA...

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kama ishala ya kuzindua rasmi mpango wa Utambuzi wa ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAAMBIWA HIVIII, UKITAKA RAHA NA BURUDANI YA MUZIKI MZURI BASI NI SKYLIGHT...

Majembe ya kazi wakiwajibika jukwaaani ili kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village Kutoka kushoto ni Joniko Flower akifuatiwa na Sony Masamba (katikati)...

View Article


YANGA YATAKIWA KUWASILISHA RASIMU YA KATIBA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kuwasilisha rasimu ya Katiba waliyoipitisha, kwa kuzingatia kuwa Muhtasari wa kikao cha Mkutano Mkuu wao wa Juni 1 mwaka huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azam Media wamwaga fedha VPL

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Silas Mwakibinga (kulia), akipokea hundi ya sh. milioni 423.5 kutoka Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Rhys Torrington kwa ajili ya klabu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Soka...

View Article

Tanesco: Mgodi wa Kidatu bado una uwezo

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco), limesema mgodi wa kufua umeme uliojengwa Kidatu Morogoro mwaka 1975, bado una uwezo wa kuzalisha nishati hiyo kwa kiwango cha kutosha.Kauli hiyo, ilitolewa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>