Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE VAENI NGUO SASA, KAMA KUVUA MUMESHAVUA IMETOSHA

MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE LAUNCHES World bank's report on Productive Jobs Necessary...

 President Jakaya Mrisho Kikwete greets Managing Director of the World Bank Ms Sri Mulyani Indrawati as he arrives  at the launch of the bank's report on Productive Jobs Necessary for Tanzania’s...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA HABARI WANAOENDA NCHINI MALAWI WAAGWA RASMI

 Baadhi ya waandishi wa habari wanaosafiri kwenda Malawi wakiwa wanamsikiliza Katibu tawala msaidizi wakati wa kuagana. Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Mbeya, Leonard Magacha akizungumza na waandishi wa...

View Article

MAFUNZO YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI UWANJA WA TAIFA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kesho Jumamosi (Septemba 13 mwaka huu) saa 4 asubuhi litaendesha mafunzo ya matumizi ya tiketi za elektroniki kwa wadau wa mpira wa miguu Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KMKM YATWAA NGAO YA JAMII-ZANZIBAR

Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi Ngao ya Jamii nahodha wa timu ya KMKM, Khasim Ali baada ya kuifunga Shaba ya Pemba 2-0 katika mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALIMA MDEE AWA MWENYEKITI MPYA BAWACHA

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa (Bawacha), wakifungua shampeni kusherehekea ushindi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema Taifa, Halima Mdee (kushoto) baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URA YAIZIMA SIMBA, YAIFUNGA 1-0

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba (katikati),  akiwatoka  mabeki wa timu ya URA ya Uganda  katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA ZINAPANGISHWA

 Sehemu ya mbele. ENEO:      Nyumba ipo  PUGU-Umbali wa  mita 100  toka  Barabara Kuu ya lami.               Nyumba  3 za familia zipo ndani  ya  eneo  moja  kila  moja  inajitegemea.UKUBWA: Kila  moja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB NA TEKNOLOJIA KATIKA SOKA

Shabiki wa soka akinunua tiketi ya Kieletronic katika mashine maalum iliyofungwa katika tawi la Benki ya CRDB la Azikiwe jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Hisani kati ya Yanga na Azam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA INAPANGISHWA

Nyumba hii ipo Mbagala Kuu inapangishwa ina maji, umeme sehemu ya kuegesha gari wakati wote nyumba 3 na kila kitu ndani piga namba hii 0715 896 551 kwa mazungumzo huyu mwenye nyumba siyo dalali.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AANZA ZIARA MKOANI TANGA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga  cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi Kulia ni Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mwakyembe azindua magari ya milioni 840/- JNIA

 Baadhi ya maofisa wa Serikali waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi.  Baadhi ya madereva wa taxi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa magari yao wakifuatilia hotuba ya Waziri Mwakyembe. Kwa mbali kulia...

View Article

COASTAL UNION KUWAKARIBISHA MTIBWA SUGAR KESHO MKWAKWANI

Na Mwandishi Wetu, TANGATIMU ya Coastal Union ya Tanga  “Wagosi wa Kaya” kesho Jumapili itacheza mechi ya kirafiki na Mtibwa Sugar  kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waathirika mabomu kuwang’oa viongozi wao

Wananchi wa Mbagala Kuu ambao waliathilika na mlipuko wa mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi (JWTZ),  Aprili 2009 wakiwa na mabango yenye ujumbe wa kumtaka Rais Jakaya Kikwete asikilize kilio chao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATUA MGOGORO WA KIWANDA CHA CHAI CHA LUPONDE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na  Ali Juma Mkangala mmoja washiriki wa Mkutano wa Kutatua mgogoro wa kiwanda cha chai cha Liponda kilichopo Bumbuli Tanga. Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AHUTUBIA MAMIA KIMANZICHANA

Kinana akihutubia Kimanzichana wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani leo. (Picha Bashir Nkoromo)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA MSIBA WA MZEE IDRISA KILANGI

Bwana Mfaume Kilangi wa Tuangoma Marela-Kigamboni Jijini Dar es Salaam anasikitika kutanga kifo cha baba yake mzazi MZEE IDRISA KILANGI  (pichani) kilichotokea alfajiri ya kuamkia leo jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM, YANGA HAPATOSHI LEO

Kocha Msaidizi wa Azam, Kalimangonga Ongara akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuhusu pambano lao na Yanga la Ngao ya Hisani litakalofanyika leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YADHAMINI PAMBANO LA SIMBA NA NDANDA FC

NSSF  kupitia mpango wake wa Wakulima Scheme yadhamini mechi ya kujipima nguvu kati ya Simba ya Dar es Salaam na Ndanda FC ya Mtwara  kwenye uwanja wa CCM  wa Nangwanda Sijaona na kuhudhuriwa na maelfu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIBAMIZA AZAM FC 3-0

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0....

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>