Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR NYAMA CHOMA FESTIVAL

Sam Mapenzi, Joniko Flower na Hashim Donode wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika miwshoni mwa juma katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI AINA YA TOYOTA VEROSSA INAUZWA

  Gari inauzwa kwa bei nzuri tu na ipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia mawasiliano hapo chiniSPECIFICATIONS ZA GARI HIYO NIMAKER: TOYOTAMODEL: VEROSSAYoM:      2001CC:       1980Odo:...

View Article


KIINGILIO MECHI YA NGAO YA JAMII 5,000

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuashiria uzinduzi wa msimu mpya wa Ligi kati ya Azam na Yanga itakayochezwa Jumapili (Septemba 14 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUKUWEZESHA CHAMA CHA...

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) Ahimkabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar Ikiwa Ni ahadi yake aliyoitoa ya Kukusaidia chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Villa Squad kukipiga na Ashanti United

Na Andrew ChaleKwa mujibu wa  Katibu wa Villa, Mbarouk Kasanda  mchezo huo utakuwa ni mahususi kwa ajili ya kukipa makali kikosi chao hicho kinachotarajia kujiwinda kurejea ligi kuu msimu ujao.Kasanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 CALL FOR ENTRIES

Je wewe ni mrembo, mrefu mwembaba unayejiamini? Usisite kuchukua forms za kujiunga na Miss Universe Tanzania 2014 katika mikoa ifuatayo MWANZA (LULU SANGA- 0715471412); IRINGAna MBEYA ( VERONICA...

View Article

WAREMBO WA REDDS MISS TANZANIA 2014 KUINGIA KAMBINI TAREHE 13 SEPTEMBA 2014

Washiriki wa Fainali za Mashindano ya urembo ya Redds Miss Tanzania 2014 kutoka mikoa mbalimbali nchini wataanza kambi rasmi ya mafunzo kwa kuingia kambini Jumamosi ya tarehe 13 Septemba 2014....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIFARU CHA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ) CHAGONGA NYUMBA NA KUUWA WATU...

Kifaru kilichokuwa kikisafiri kutoka Mtwara kwenda Lindi kikiwa kimeacha njia na kugonga nyumba usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Mnolela Lindi vijijini, kusababisha vifo vya watu watatu katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA BAVICHA KATIKA PICHA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akitoka katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana la chama hicho....

View Article


MSANII FRANCIA CHENGULA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO

LEO watoto wetu wapatao 808,111 wanamaliza elimu yao ya msngi ya Darasa la Saba nchini kote.Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani...

View Article

MECHI YA COASTAL UNION NA MTIBWA SUGAR YASOGEZWA MBELE SASA KUCHEZWA JUMAPILI

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union ya Tanga  “Wagosi wa Kaya” ambayo ilikuwa icheze mechi ya kirafiki na Mtibwa Sugar  Jumamosi wiki hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani mchezo huo umesogozwa mbele...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHITIMU WA DARASA LA SABA IRINGA WAJIHAKIKISHIA UFAULU MZURI MTIHANI WA...

Mhitimu wa darasa la saba   shule ya Msingi Muungano  mjini  Iringa  aliyejitambulisha kwa jina moja la Emanuel akifuatilia tangazo la masomo ya  ziada (TUITION) kwa ajili ya  kidato  cha kwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA COKE STUDIO AFRICA WAFANA DAR

 Wanamuziki  Vanessa Mdee, Jo Makini na Shaa wakiwa katika picha ya pamoja kwenye 'red Carpet  wakati wa uzinduzi huo.Mwanamitindo Rio Paul (kushoto) akiwa na rafiki zake muda mfupi baada ya uzinduzi...

View Article

Jux aachia ‘Sisikii’ redioni

Na Andrew ChaleMWANAMUZIKI nyota anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini, Juma Mussa ‘Jux’ anayetamba zaidi  na vibao vya ‘Uzuri wako’ na ‘Nitasubiri’, ameachia rasmi wimbo wake mpya wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAWACHA WACHAGUANA

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza wakati wa mkutano Mkuu wa Baraza la wanawake Chadema taifa. uliofanyika jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Francis Dande)Mgombea wa nafasi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO KUTOA MAFUNZO KWA WATETEZI HAKI ZA BINADAMU

Kaimu Makamu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo anayeshughulikia masuala ya Fedha Utawala, Dk. Elifuraha Mtaro (kulia) akimkabidhi barua ya udhamini wa mafunzo ya masomo ya haki za binadamu, mwanafunzi wa chuo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND KUSHEHEREKEA BIRTHDAY YA MR. JACK’S HUKU WA...

Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WAZUKA TENA MSIKITI WA MTAMBANI LEO

Aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Umoja wa Vijana Msikiti wa Mtambani, Hassan Hussein akionyesha darasa lililoungua na moto katika Shule ya Sekondari ya Seminari ya Mivumoni jijini Dar es Salaam. (Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILLIAM ERIO AIFAGILIA CRDB

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni za wastaafu PPF, Bw.William Erio ameipongeza benki ya CRDB kwa kuendelea kuwa benki bora yenye huduma nzuri zaidi hapa nchini. Bw. Erio aliyasema hayo jijini Arusha...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>