$ 0 0 Kiungo mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba (katikati), akiwatoka mabeki wa timu ya URA ya Uganda katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. URA imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)