Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

MJADALA; WATANZANIA DIASPORA, TUNAWATAKA WAJENGE VIHENGE NYUMBANI, LAKINI...

Niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania. Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI BWANA NDIYE MWENYEKITI MPYA BARAZA LA CHUO KIKUU HA BAGAMOYO (UB)

Na Mwandishi WetuBODI ya Wadhamini ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), imemteua  Jaji wa Mahakama ya Rufaa nchini, Dk.Stephen Bwana Kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la chuo hicho.Akizungumza na waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA ASOGEZA MBELE NDOA YA TUNDA MAN

Na Elizabeth JohnNYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ amesema hatafunga ndoa mwaka huu kama alivyotangaza awali kutokana na kuuguliwa na mama yake mzazi.Awali Tunda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali.Uamuzi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Tanzania Aibuka mshindi wa Kwanza Tuzo ya Isha SADC

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga (16) anayesoma katika shule ya sekondari Naboti Makambako,Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mugabe amtunuku Brigedia Jenerali (Mstaafu) Hashim Mbita

 Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Rais Robert Gabriel Mugabe wa Zimbabwe akimkabidhi Bi. Sheila Hashim Mbita, binti yake Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita Tuzo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAKUTANA NA MAAFISA RASILIMALI WATU WA TAASISI ZA KIFEDHA

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF,  Cresentius Magori akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la Maofisa Rasilimali watu wa Taasisi za Kifedha lililofanyika Morogoro Hotel.Baadhi ya washiriki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii walioshiriki tamasha la KIlimanjaro Music Tour 2014 mjini Dodoma...

 Baadhi ya Wasanii waliokuwa kwenye onesho la Kilimanjaro Music Tour lililofanyika mkoani Dodoma jana,leo walipitia nyumbani kwa Mfalme wa Rhymes a.k.a Simba Mzee a.k.a Afande Sele kumpa mkono wa pole...

View Article


FIKIRINI SULEIMAN BADO MCHEZAJI WETU-COASTAL UNION

Na Mwandishi Wetu, Tanga UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union “Wagosi Kaya “umekanusha vikali taarifa zilizoenezwa kuwa mlinda mlando wa kikosi cha Vijana wenye umri chini ya miaka ishirikini U-20...

View Article


COASTAL UNION KUPIGA KAMBI PEMBA

Na Mwandishi Wetu, TangaTIMU ya Coastal Union ya Tanga inatarajiwa kundoka mkoani hapa Jumanne kuelekea Kisiwani Pemba kwa ajili ya kuweka kambi ya Mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu soka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO (UB) CHATOA MAFUNZO KWA MAOFISA WA SERIKALI KUTOKA...

 Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa kuwajengea uwezo maofisa wa serikali kuhusu uandikaji wa mikataba inayohusu Uwekezaji na Biashara wakiwa katika majadiliano wakati wa mkutano huo....

View Article

FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu duniani (FIFA) limeahidi kuboresha makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) yaliyoko kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala ili yawe katika kiwango...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikili kutatua mchangamoto za barabara kuwezesha miradi ya NSSF kufanikiwa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia maendeleo ya daraja la Kigamboni wakati alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wake.Mhandisi Joh Msemwa akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu kuhusu ujenzi wa daraja la...

View Article


RAZACK SIWA ATUA RASMI COASTAL UNION

Na Mwandishi WetuAliyekuwa Kocha wa makipa wa timu ya Yanga Razack Siwa  hatimaye ameingia mkataba wa kuwanoa makipa wa timu ya Coastal Union ya Tanga ambayo inajiandaa na maandalizi ya msimu ujao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJIJI 120 KUFIKIWA NA UMEME

                                                         Na Ferdinand Shayo, ArushaVijiji 120 vilivyopo mkoa wa Arusha vinatarajia kufikiwa na huduma ya umeme kupitia mpango wa kusambaza umeme vijijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MH: PINDA MGENI RASMI UZINDUZI WA JUKWAA LA KILIMO

  Katibu Mtendaji Katibu Mtendaji wa Taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya kilimo (Ansaf), Audax Rukonge akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP MANGU AKUTANA NA MASHEIKH WA MIKOA NCHINI

Mkuu wa Jeshi la Polisi  nchini IGP Ernest Mangu  akisalimiana na masheikh wa mikoa na maimamu wa misikiti katika ukumbi wa bwalo la maafisa wa Polisi wakati wa   kikao cha muendelezo wa  kampeni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. EDMUND MNDOLWA: MSIWABUGHUDHI VIONGOZI WALIOPO MADARAKANI WAACHENI...

Na Dotto MwaibaleWanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kuwabugudhi viongozi waliopo madarakani kwa kuchaguliwa waendelee kuchapa kazi badala ya kuanza kuzihitaji nafasi zao kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NISSAN PATROL INAUZWA

 Nissan Patrol ipo sokoni.Nissan Patrol, Engine TD42, 4200CC,Diesel, Manual, Make 1997.Wasiliana kwa namba 0752 753 309

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO CHAWAFUNDA MAOFISA BIASHARA WA NCHI 15

Mtaalamu wa kujadili mikataba kutoka World Trade Organization (WTO), Prof. Dickson Yeboah akitoa mada jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa Kimataifa wa kuwajengea uwezo maofisa wa serikali kutoka...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>