Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KMKM MABINGWA LIGI KUU YA GRAND MALT ZANZIBAR

 Waziri Asiye na Wizara Maalum wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Machano Othman akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 10 nahodha wa timu ya KMKM, Maulid Ibrahimu baada ya kutwaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAYWEATHER Jr AMCHAPA ROBERT GUERRERO KWA POINTI

 Bondia Floyd Mayweather Jr (kushoto) akimsulubu Robert Guerrero katika pambano la masumbwi kwenye Ukumbi wa MGM Grand Garden, jijini Las Vegas, Marekani. Mayweather Jr alishinda kwa pointi pambano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WLADIMIR KLITSCHKO AMCHAPA FRANCESCO PIANETA NA KUTETEA WBA, WBO, IBF NA IBO

  Mchumba wa Wladimir Klitschko, Hayden Panettiere, akishangilia wakati mpenzi wake akiwaga dozi ulingoni na kumchapa Francesco Pianeta wa Italia. Wladimir Klitschko akiwa na mikanda yake ya WBO, WBA,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMIBA YAICHEZESHA GWARIDE RUVU SHOOTING, YAIFUNGA 3-1

Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo (kushoto) akiwania mpira na beki wa Ruvu Shooting,  Shaban Suzan katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMOJA AFARIKI NA WENGINE 60 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA MLIPUKO WA BOMU JIJINI...

Baadhi ya majeruhi wakiwa wameanguka chini kufuatia shambulio la bomu lililofanywa na mtu asiyejulikana ambapo zaidi ya watu 60 wamejeruhiwa na wengine 42 hali zao ni mbaya, tukio hilo lilitokea katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zanzibar Dk. Shein awasili Pemba kwa uzinduzi wa mwenge wa uhuru...

  Rais wa  Zanzibar na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh, Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Jeshi na Usalama  wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Pemba Mei,5,2013...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SVG YATIMIZA MWAKA MMOJA

 Watoto pia walishiriki kwenye zoezi la upandaji miti. Zoezi la upandaji miti  liliendeshwa mitaa mbalimbali ya Kilimahewa. Wakazi wa Kilimahewa  wakichangamkia zoezi la kupanda miti.Wana SVG...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOKUFA KATIKA MLIPUKO ARUSHA WAFIKIA WATATU

Takriban watu watatu wamekufa kwenye mripuko wa bomu Jumapili asubuhi katika kanisa Katoliki la Olasiti nje kidogo ya mji wa Arusha, Tanzania.Kwa mujibu wa Padri Festus Mangwangi ambaye ni paroko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA RAIS JUU YA TUKIO LA ARUSHA

 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com              press@ikulu.go.tz              Fax:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE MGENI RASMI MAONESHO YA WIKI YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII MEI 13

Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu Wiki ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk.Emmanuel Nchimbi akitoka nje ya  ukumbi wa Bunge mjini Dodoma   leo mara baada ya kuwasilisha hotuba  yake ya  makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake...

View Article

Taswa FC, Taswa Queens kuumana na Bongo Movie Jumamosi

Na Mwandishi WetuTIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC na timu ya netiboli, Taswa Queens Jumamosi zitacheza na timu ya wacheza filamu, Bongo Movie FC na Bongo Movie Queens...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIKI YA UMOJA WA ULAYA NA KAZI ZA KIJAMII

 Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Mh. Filiberto  Sebregondi (katikati) akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam juu ya Wiki ya Umoja wa Ulaya itakayoadhimishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zanzibar awasha mwenge wa uhuru kitaifa Chokocho mkoa wa Kusini Pemba

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dkt. Ali Mohamed Shein  akiwasha Mwenge wa Uhuru Mei 6,2013  katika uzinduzi wa mbio  za Mwenge wa uhuru kitaifa katika sheiha ya Chokocho,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA SAID MBELWA AMGALAGAZA SAID MKONDE KWA K.O

Bondia Omari Zungu akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Haruna Sinondo wakati wa mchezo wao uliofanyika Chanika mwishoni mwa wiki iliyopita Sinondo alishinda kwa K,O raundi ya pili. (Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA UTAMADUNI JIJI LA TANGA AKAGUA KAMBI YA TAIFA YA MISS UTALII TANZANIA...

Afisa Utamaduni Jiji la Tanga, Peter Semfuko (katikati) ,Matron Hilda Mwinyi (Kulia), na mratibu wa kamati ya maandalizi Kessy Salum Mbasha (Kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA UZINDUZI WA AIRTEL YATOSHA KATIKA PICHA

Kikundi cha wakali dansi cha Temeke kikitoa burudani katika tamasha la maalum la uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Yatosha lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya zakhem-Mbagala jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA TANGA KUINULIWA KIUCHUMI KUPITIA KILIMO

Na Mwandishi Wetu, KondoaMWENYEKITI wa Wazazi Mkoa wa Tanga, Dk. Edmund Mndolwa, ameahidi kuinua uchumi wa Mkoa wa Tanga kupitia kilimo cha biashara ili kuwakomboa vijana kiuchumi.Akizungumza wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA MBEYA APOKEA TUZO ZA SAFARI LAGER KWA SHANGWE

 Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akimkabidhi rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro (kulia) Tuzo za Bia ya Safari Lager ilizoshinda katika mashindano ya Bia Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FERGUSON ABWAGA MANYANGA KUINOA MAN UNITED

Kocha wa Man United, Sir Alex FergusonLONDON, EnglandMskochi huyo aliyetwaa mataji zaidi ya 30 katika miaka yake 26 ya kuinoa Manchester United, vikiwamo vikombe 13 vya Ligi Kuu ya hapa, anatarajia...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>