Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

TAMASHA LA UZINDUZI WA AIRTEL YATOSHA KATIKA PICHA

$
0
0
Kikundi cha wakali dansi cha Temeke kikitoa burudani katika tamasha la maalum la uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Yatosha lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya zakhem-Mbagala jijini Dar es Salaam na kuwavuta maelfu ya watu. (Na Mpiga Picha Wetu)
Mwanadada msanii chipukizi wa Temeke akitoa burudani kwenye tamasha la Airtel yatosha lililofanyika katika viwanja vya zhakem, Mbagala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii. 


Fid Q akipagawisha mashabiki waliohudhuria tamasha hilo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>