Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Migodi ya madini 21, 686 yakaguliwa

Migodi ya Madini  21,686 yakaguliwa katika kipindi cha Julai, 2023 hadi Aprili 2024, Kati ya migodi hiyo, migodi mikubwa ni nane, migodi ya kati 56 na migodi midogo 21,622. Hayo yamesemwa na Naibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WATOA SHUKRANI KWA RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KUWAJUMUISHA KWENYE...

Na Magrethy Katengu, Dar es SalaamWASANII wa Tasnia ya Filamu Tanzania (BONGO MOVIE)  wanamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kauli yake ya kuanza kuwajumuisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amend, Uswiss wakabiliana na ajali kwa wanafunzi

Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga (DAS), Dalmia Mikaya (kushoto)wakifunua kitambaa baada ya kufanyika kwa uzinduzi wa mradi wa uwekezaji wa miundombinu ya usalama barabarani kwa shule za Msingi Azimio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGU KINARA MASHINDANO YA UMITASHUMTA MKOA WA MWANZA, YABEBA VIKOMBE 13

Mkuu wa Wilaya ya Magu , akipokea zawadi ya kombe la mshindi wa jumla mashindano ya ya umoja wa Michezo na taaluma kwa wanafunzi wa Shule za Mshingi Tanzania (UMITAMSHUMTA) kwa Halmashauri zote za Mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA, DENMARK KUBADILISHANA UTALAAMU KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, katika kikao kati ya Tanzania na Waziri wa Kodi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AWAFARIJI NDUGU WA WALIOPOTEZA MAISHA KWA AJALI YA MTUMBWI KAVUU

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe. Geophrey Pinda akipata maelezo katika eneo ilipotokea ajali ya Mtumbwi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKURUGENZI MADAI YA WALIMU SIO SIRI YAWEKENI WAZI-Dkt. Msonde

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde akiwa na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kashozi alipowasili shuleni hapo kwa ajili ya kufanya kikao kazi na Maafisa Elimu Kata,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDADI YA WATALII WA KIMATAIFA NA MAPATO IMEONGEZEKA, MHE. KAIRUKI

Na Jasmine Shamwepu, DodomaWaziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki  ameeleza kuwa idadi ya watalii wa kimataifa wanaotembelea nchi ya Tanzania imeongezeka kwa asilimia 96 kutoka watalii 922,692...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWICA YAIINGIZIA SERIKALI DOLA ZA MAREKANI 2,773,000

Na Jasmine Shamwepu, DodomaWaziri wa Maliasili na Utalii Angellah Jasmin Kairuki amesema katika kuongeza mapato yatokanayo na shughuli za utalii, Wizara yake imefanikiwa kuanza utekelezaji wa Uwekezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB yatwaa tuzo ya Kampuni Bora Africa "The Africa Company of the...

Mkurugenzi wa Eastern Star Group, Deogratius Kilawe (katikati), akimkabidhi Tuzo ya Kampuni Bora 2024 "Africa Company of the Year Awards 2024" Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Benki ya CRDB, Muhumuliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEI TOTO AWATAHADHARISHA WANACHI FAINALI CRDB FC

Na John Richard Marwa Kiungo nyota wa Azam FC Feisal Salum Fei Toto amesema licha ya heshima kubwa wanayowapatia wapinzani wao Yanga SC kuelekea mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho CRDB Federation...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA YAKE MZAZI NA MBUNGE KOKA AZIKWA NA MAELFU YA WANANCHI KILIMANJARO

NA VICTOR MASANGU, KILIMANJAROMaelfu ya  wananchi,viongozi, wa serikali,wakiwemo mawaziri  wakuu wa Wilaya wakuu wa Mikoa,Wabunge  viongozi wa  dini,madiwani na viongozi wa mashirika wamejitokeza kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA ATUMA POLE KWA MSIBA WA BABA YAKE MZAZI WA MBUNGE KOKA

NA VICTOR MASANGU, KILIMANJARO Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa  Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe.Silvestry Koka kufuatia  kifo cha Baba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA TANZANIA NA KOREA KUCHEZA FILAMU KWA PAMOJA

Sekta ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia watu wengi zaidi duniani. Ahadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA SARUJI MBEYA YAGAWA GAWIO KWA WANAHISA WAKE

Mwandishi WetuBaada ya miaka 10 Kampuni ya Saruji ya Mbeya inayojulikana na chapa yake ya Tembo ambayo pia ni kampuni tanzu ya Amsons,imetoa gawio la Sh 3 bilioni kwa Serikali. Mafanikio haya ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB, SUGECO yawawezesha vijana wa Kitanzania kwenda Denmark kujifunza...

 Mkuu wa Uendeshaji wa Biashara Changa Taasisi ya CRDB Bank Foundation, Fadhili Bushagama (kulia), akimkabidhi fedha Robinson Pallangyo muda mfupi kabla ya kupanda ndege kuelekea Denmark kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA HII TEMA MATE CHINI, YAISHANGAZA AZAM FC

Na John Richard Marwa Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania klabu ya Young Africans wamefanikiwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Shirikisho CRDB Federation Cup baada ya kufanikiwa kapata mikwaju ya penati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AZINDUA JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 02, 2024 ameweka jiwe la msingi la jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Nyangh’hwale ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 85.Akizungumza baada ya uwekaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania leo Jui 3, 2024

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB Bank Foundation, SUGECO yawaaga wahitimu wanaoenda mafunzoni Sweden

Mkuu wa Uendeshaji wa Biashara Changa Taasisi ya CRDB Bank Foundation, Fadhili Bushagama (kulia) na Meneja Mikopo Benki ya CRDB, Baraka Kiyalo (kushoto), wakikabidhi fedha kwa vijana wanaokwenda nchini...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>